Natafuta mume

Natafuta mume

Lusianoli

New Member
Joined
Jun 16, 2015
Posts
1
Reaction score
1
Habari zenu wanajamvi,

Mimi ni mdada wa miaka 27 ,mkristo,nipo Arusha,elimu yangu ni kidato cha nne,nimeajiriwa serikalini. Natafuta mume kuanzia miaka 30-36,mkristo,awe na kazi au biashara ya kuweza kujikimu kimaisha.

Aliye tayari tuwasiliane.
 
Nakukumbusha kwanza kabla ya yote Mungu alisema ndoa ailinganishwi na kazi chagua moja unataka ndoa au unataka kazi... ok ngoja nifupishe mada me nahitaji mke wa kuoa mwenye mapenzi ya kweli kwangu na kwa familia yetu kama uko tayari niPM
 
aisee!hakika mungu anajibu maombi.hata mimi nilikuwa natafuta mkee mwenziooo
 
Mbona unajidhalilisha utu wako.Kwa nini unajiweka sokoni kama bidhaa isiyo na thamani?.Kumbuka wewe ni wa thamani na Mume mwema utapewa na Mungu..Acha kudhalilisha utu wa mwanamke
 
Bado seal ipo. Kama waoo. Ila kama imeraruliwa hapana.
funguka zaidi.
 
Ningekua sijao ningekutafuta. Lakini bahati mbaya sasa.
 
Huwa nashangaa sana kuona msichana tena mkristo kama huyu anakaa nakuchukua Simu yake na kuandika eti anatafuta mume lol!! Kweli hofu ya Mungu imetoweka na tumemsahau sana Mungu kumuona kwamba yeye hawezi kutusaidia kitu chochote, kwamaana kama we we in mkristo kweli ungepiga magoti na kumuomba Mungu akupe mume mwema kwa imani na kumaanisha unajua hata zile amri za Mungu tumesahau ndio maana hata tunazini kwanza and then baadae tunasema au tunamuomba Mungu atupe mume, ndio sisi binadamu hatujakamilika ila tunaweza kuomba toba na kwa swala kama hilo ni kumuomba mungu akupe au akukutanishe na yule aliyekupangia kuishi nae na sio kujitangaza kwenye media kiivyo huko ni kujiuza naweza sema na sio kutafuta mume, mume hatafutwi kwenye mitandao...
 
Huwa nashangaa sana kuona msichana tena mkristo kama huyu anakaa nakuchukua Simu yake na kuandika eti anatafuta mume lol!! Kweli hofu ya Mungu imetoweka na tumemsahau sana Mungu kumuona kwamba yeye hawezi kutusaidia kitu chochote, kwamaana kama we we in mkristo kweli ungepiga magoti na kumuomba Mungu akupe mume mwema kwa imani na kumaanisha unajua hata zile amri za Mungu tumesahau ndio maana hata tunazini kwanza and then baadae tunasema au tunamuomba Mungu atupe mume, ndio sisi binadamu hatujakamilika ila tunaweza kuomba toba na kwa swala kama hilo ni kumuomba mungu akupe au akukutanishe na yule aliyekupangia kuishi nae na sio kujitangaza kwenye media kiivyo huko ni kujiuza naweza sema na sio kutafuta mume, mume hatafutwi kwenye mitandao...

Msipuuze juhudi za watu kwa kisingizio cha uungu, akishapiga magoti ndio inakuwaje, Mume anajileta au, na atajuaje kama huyu ndiye...

Umeamua kujitia wehu kama kondoo wengine,umenikwaza. Mwache dada wa watu atafute mwandani wake wa maisha... Kama wewe umeshaoa/olewa kaa kimya, kuwa mwangaliaji tu!
 
Habari zenu wanajamvi,

Mimi ni mdada wa miaka 27 ,mkristo,nipo Arusha,elimu yangu ni kidato cha nne,nimeajiriwa serikalini. Natafuta mume kuanzia miaka 30-36,mkristo,awe na kazi au biashara ya kuweza kujikimu kimaisha.

Aliye tayari tuwasiliane.

bahati mbaya nina 43 japo uso na umbile ni la 25
 
Huwa nashangaa sana kuona msichana tena mkristo kama huyu anakaa nakuchukua Simu yake na kuandika eti anatafuta mume lol!! Kweli hofu ya Mungu imetoweka na tumemsahau sana Mungu kumuona kwamba yeye hawezi kutusaidia kitu chochote, kwamaana kama we we in mkristo kweli ungepiga magoti na kumuomba Mungu akupe mume mwema kwa imani na kumaanisha unajua hata zile amri za Mungu tumesahau ndio maana hata tunazini kwanza and then baadae tunasema au tunamuomba Mungu atupe mume, ndio sisi binadamu hatujakamilika ila tunaweza kuomba toba na kwa swala kama hilo ni kumuomba mungu akupe au akukutanishe na yule aliyekupangia kuishi nae na sio kujitangaza kwenye media kiivyo huko ni kujiuza naweza sema na sio kutafuta mume, mume hatafutwi kwenye mitandao...

huyo mkeo aliteremshwa na Mungu au ulipopiga goti ukachukua juhudi za kutafuta/kutongoza? na kama wewe ni mke ulipopiga goti, huyo aliyekutongoza mara ya kwanza mbona ulimkataa. Na mbona aliyekubikiri siye aliyekuoa?

Bahati mbaya hakuna dislike button, post yako inaonyesha ulivyo na upofu wa kiroho.
 
Tatizo lenu mnatafuta mume mtadhani mnatafuta business partner.
Ondoeni hayo masharti yenu bana. Naomba nikutumie pm ingawa hivyo vigezo sina ila nina uwezo wa kukutunza vzr kabisa na ukafurahia maisha.
Njoo PM
 
Tatizo lenu mnatafuta mume mtadhani mnatafuta business partner.
Ondoeni hayo masharti yenu bana. Naomba nikutumie pm ingawa hivyo vigezo sina ila nina uwezo wa kukutunza vzr kabisa na ukafurahia maisha.
Njoo PM

mmh Mkuu hata huku
 
Huwa nashangaa sana kuona msichana tena mkristo kama huyu anakaa nakuchukua Simu yake na kuandika eti anatafuta mume lol!! Kweli hofu ya Mungu imetoweka na tumemsahau sana Mungu kumuona kwamba yeye hawezi kutusaidia kitu chochote, kwamaana kama we we in mkristo kweli ungepiga magoti na kumuomba Mungu akupe mume mwema kwa imani na kumaanisha unajua hata zile amri za Mungu tumesahau ndio maana hata tunazini kwanza and then baadae tunasema au tunamuomba Mungu atupe mume, ndio sisi binadamu hatujakamilika ila tunaweza kuomba toba na kwa swala kama hilo ni kumuomba mungu akupe au akukutanishe na yule aliyekupangia kuishi nae na sio kujitangaza kwenye media kiivyo huko ni kujiuza naweza sema na sio kutafuta mume, mume hatafutwi kwenye mitandao...

acha upuuzi wewe, kwani ukiomba anashuka toka mawinguni? tatizo mnakariri maandiko badala ya kuyaelewa
 
Habari zenu wanajamvi,

Mimi ni mdada wa miaka 27 ,mkristo,nipo Arusha,elimu yangu ni kidato cha nne,nimeajiriwa serikalini. Natafuta mume kuanzia miaka 30-36,mkristo,awe na kazi au biashara ya kuweza kujikimu kimaisha.

Aliye tayari tuwasiliane.
Kutafuta "mume"nowdays imekuwa kama kutafuta "smartsphones" tena za tecno na Huawei
 
Huwa nashangaa sana kuona msichana tena mkristo kama huyu anakaa nakuchukua Simu yake na kuandika eti anatafuta mume lol!! Kweli hofu ya Mungu imetoweka na tumemsahau sana Mungu kumuona kwamba yeye hawezi kutusaidia kitu chochote, kwamaana kama we we in mkristo kweli ungepiga magoti na kumuomba Mungu akupe mume mwema kwa imani na kumaanisha unajua hata zile amri za Mungu tumesahau ndio maana hata tunazini kwanza and then baadae tunasema au tunamuomba Mungu atupe mume, ndio sisi binadamu hatujakamilika ila tunaweza kuomba toba na kwa swala kama hilo ni kumuomba mungu akupe au akukutanishe na yule aliyekupangia kuishi nae na sio kujitangaza kwenye media kiivyo huko ni kujiuza naweza sema na sio kutafuta mume, mume hatafutwi kwenye mitandao...

We naona unaishi enzi za ujima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom