Natafuta mume

Natafuta mume

Tatizo wengi ni matapeli sana huku hata ukimpata kuwa nae makini wengi wamelizwa sana huku sio mahali pa kupaamini sana kuwa makini na utakayempata kila la kheri
 
Karibu dada yangu tuwe pamoja kama vp nicheki kwenye no hii 0652689936 yaan ulijuaje dada yangu nilikuwa natafuta mchumba hv sasa nilikuwa nataka kupost
 
Ndoa biashara mpya jamani changamkieni fursa mzee
 
Mim hapa niko tayari nimeajiliwa kama security officer katika kampuni binafsi
 
Habari zenu wanajamvi,

Mimi ni mdada wa miaka 27 ,mkristo,nipo Arusha,elimu yangu ni kidato cha nne,nimeajiriwa serikalini. Natafuta mume kuanzia miaka 30-36,mkristo,awe na kazi au biashara ya kuweza kujikimu kimaisha.

Aliye tayari tuwasiliane.

Mi niko tayari nitumie email yako
 
Tatizo wengi ni matapeli sana huku hata ukimpata kuwa nae makini wengi wamelizwa sana huku sio mahali pa kupaamini sana kuwa makini na utakayempata kila la kheri

wanawake wa jf most of them ndio hvo tena
 
Habari zenu wanajamvi,

Mimi ni mdada wa miaka 27 ,mkristo,nipo Arusha,elimu yangu ni kidato cha nne,nimeajiriwa serikalini. Natafuta mume kuanzia miaka 30-36,mkristo,awe na kazi au biashara ya kuweza kujikimu kimaisha.

Aliye tayari tuwasiliane.
[/QUOTE mambo mrembo
 
njoo hapa mm nipo kwa ajili ya woote wasio olewa tuu.ni mkaka wa nguvu nina miaka 30 tuu nina mastere yaani degree 2.moja niliipata denmark copenhagen nyingine scotland university. karibu.
 
Mbona unajidhalilisha utu wako.Kwa nini unajiweka sokoni kama bidhaa isiyo na thamani?.Kumbuka wewe ni wa thamani na Mume mwema utapewa na Mungu..Acha kudhalilisha utu wa mwanamke

Na wewe acha maujinga yako! Tangu lini ukamwona mungu akimkabidhi mtu mke? Au na wewe ulikariri kama wasemavyo watu kuwa mke mwema hutoka kwa bwana? Au utuambie huyo mungu humpaje mtu mke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom