Natafuta mume

Natafuta mume

Mbona unajidhalilisha utu wako.Kwa nini unajiweka sokoni kama bidhaa isiyo na thamani?.Kumbuka wewe ni wa thamani na Mume mwema utapewa na Mungu..Acha kudhalilisha utu wa mwanamke

Toka nje ya box, tulivyokua tunaandika barua kutongoza na sisi tulikua tunajiuza au ni ile kukariri kwamba mwanamke hatakiwi kueleza anachojiskia?
 
Huwa nashangaa sana kuona msichana tena mkristo kama huyu anakaa nakuchukua Simu yake na kuandika eti anatafuta mume lol!! Kweli hofu ya Mungu imetoweka na tumemsahau sana Mungu kumuona kwamba yeye hawezi kutusaidia kitu chochote, kwamaana kama we we in mkristo kweli ungepiga magoti na kumuomba Mungu akupe mume mwema kwa imani na kumaanisha unajua hata zile amri za Mungu tumesahau ndio maana hata tunazini kwanza and then baadae tunasema au tunamuomba Mungu atupe mume, ndio sisi binadamu hatujakamilika ila tunaweza kuomba toba na kwa swala kama hilo ni kumuomba mungu akupe au akukutanishe na yule aliyekupangia kuishi nae na sio kujitangaza kwenye media kiivyo huko ni kujiuza naweza sema na sio kutafuta mume, mume hatafutwi kwenye mitandao...

Wee nae huko nako ni kukandamiza haki ya mwanamke! anaruhusiwa kufanya chochote ili mradi asivunje sheria za nchi! wew naona bdo upo ki analogy zaidi wenzako tupo Digital zaidi
 
Ndo mimi hamuwez kunibadulisha na fikra zangu kama nimewachafua kaleni ndimu mxieeeew............mnajioma mpo sana perfect kwa kuishi maisha ya digital hamna hata aibu na wala hamniumizi kitu ninachosisitizia kama kuna mtu nimemchefua sana na anajiona yupo perfect more than me kwa chochte anachoshauri akaongeze chumvi alitoe rohon limtoke wapuuuzi wenyewe mliosema mimi ni mpuuzi, mxiewwwwwww
 
Habari zenu wanajamvi,

Mimi ni mdada wa miaka 27 ,mkristo,nipo Arusha,elimu yangu ni kidato cha nne,nimeajiriwa serikalini. Natafuta mume kuanzia miaka 30-36,mkristo,awe na kazi au biashara ya kuweza kujikimu kimaisha.

Aliye tayari tuwasiliane.

ni pm tuongee vizuri
 
Habari zenu wanajamvi,

Mimi ni mdada wa miaka 27 ,mkristo,nipo Arusha,elimu yangu ni kidato cha nne,nimeajiriwa serikalini. Natafuta mume kuanzia miaka 30-36,mkristo,awe na kazi au biashara ya kuweza kujikimu kimaisha.

Aliye tayari tuwasiliane.

tumana namba yako plz
 
Huwa nashangaa sana kuona msichana tena mkristo kama huyu anakaa nakuchukua Simu yake na kuandika eti anatafuta mume lol!! Kweli hofu ya Mungu imetoweka na tumemsahau sana Mungu kumuona kwamba yeye hawezi kutusaidia kitu chochote, kwamaana kama we we in mkristo kweli ungepiga magoti na kumuomba Mungu akupe mume mwema kwa imani na kumaanisha unajua hata zile amri za Mungu tumesahau ndio maana hata tunazini kwanza and then baadae tunasema au tunamuomba Mungu atupe mume, ndio sisi binadamu hatujakamilika ila tunaweza kuomba toba na kwa swala kama hilo ni kumuomba mungu akupe au akukutanishe na yule aliyekupangia kuishi nae na sio kujitangaza kwenye media kiivyo huko ni kujiuza naweza sema na sio kutafuta mume, mume hatafutwi kwenye mitandao...

Ulichokiandika npumbabkwelili.
 
Huwa nashangaa sana kuona msichana tena mkristo kama huyu anakaa nakuchukua Simu yake na kuandika eti anatafuta mume lol!! Kweli hofu ya Mungu imetoweka na tumemsahau sana Mungu kumuona kwamba yeye hawezi kutusaidia kitu chochote, kwamaana kama we we in mkristo kweli ungepiga magoti na kumuomba Mungu akupe mume mwema kwa imani na kumaanisha unajua hata zile amri za Mungu tumesahau ndio maana hata tunazini kwanza and then baadae tunasema au tunamuomba Mungu atupe mume, ndio sisi binadamu hatujakamilika ila tunaweza kuomba toba na kwa swala kama hilo ni kumuomba mungu akupe au akukutanishe na yule aliyekupangia kuishi nae na sio kujitangaza kwenye media kiivyo huko ni kujiuza naweza sema na sio kutafuta mume, mume hatafutwi kwenye mitandao...

wangapi wamepata ndoa kupitia jukwaa hili? mahusiano na ndoa huanzia popote hata kwenye daladala. ulitaka aende kanjsan amwambie mchungaji? alokwambia hamuombi mungu nani? hivi ukishaomba mungu ndo unakaa usubiri akuletee? acha mazarau na kujiona wewe umekamilika kwenye hii dunia wewe pia unamkosea mungu sana
 
Habari zenu wanajamvi,

Mimi ni mdada wa miaka 27 ,mkristo,nipo Arusha,elimu yangu ni kidato cha nne,nimeajiriwa serikalini. Natafuta mume kuanzia miaka 30-36,mkristo,awe na kazi au biashara ya kuweza kujikimu kimaisha.

Aliye tayari tuwasiliane.

Mbona umri bado unakubari kwanini usitafute kwa macho utafute mtandaoni utalia wewe ndoa si kitu cha mchezo ivo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom