Natafuta Mume

Natafuta Mume

hahahah... kigori wa kilwa umekuja mpaka kwa huyu mzee? hahaha, wanaume tupo wachache sana umeona huyu

Ndio nimekuja naona unamshambulia sana mwanamke mwenzangu ndio maana mie nataka ndoa na ww ili nikuonyeshe sisi wanawake tupoje ahhh ahhh naona utaona aibu haswa kuadithia humu
 
Last edited by a moderator:
Ndio nimekuja naona unamshambulia sana mwanamke mwenzangu ndio maana mie nataka ndoa na ww ili nikuonyeshe sisi wanawake tupoje ahhh ahhh naona utaona aibu haswa kuadithia humu

Huyo nimeshamchunguza kila kitu, taarifa zake zote ninazo kiganjani hapa. Nimemzunguka tayari na atakuwa ashanijua mi ni nani akaleta majibu ya ovyo namwaga data zake hapa. hahahaha........ we bado sana kuniweza mimi
 
Huyo nimeshamchunguza kila kitu, taarifa zake zote ninazo kiganjani hapa. Nimemzunguka tayari na atakuwa ashanijua mi ni nani akaleta majibu ya ovyo namwaga data zake hapa. hahahaha........ we bado sana kuniweza mimi

Aahhh kumbe mnajuana eehhh basi mie simooooo
 
hivi kuna uwezekano siku hizi mtu akiwa na nye....anakimbilia humu kutafta?
 
asiwe tegemezi…haha haaha all the best
 
Kama upo serious tuwasiliane nikupe taarifa zangu 0784 821973. If you're serious
 
Natafuta mchumba sichagui kabila wala dini wala elimu awe mkweri Mimi ni electrical engineer of power indrustreis nimejiajiri 0719880848
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom