Natafuta Mume

Natafuta Mume

Me sijafika miaka 39 ila sifa zingne nnazo nifkilie basi
 
Tatizo mnapokuwa mabinti mnajishebedua mnajifanya maduu sana. Haya wazee wa ngwasuma jimama hilo
 
Ulikuwa wapi
wakati wa 26 mpaka 34,Years Old.
 
baada ya kuchakazwa vya kutosha ndo unakuja kushka watu maskio.
 
nimeshaelewa kwanini haujaolewa mpaka leo, kwajibu hilo hufai kuwa mke wa mtu wala nyumba ndogo na utasubiri sana.

Halafu ww bana una vioja sana !! Sasa mie nakutaka ww halafu usikute ubabe hapa tu ndani ya nyumba kimya na huu mdomo wangu nakuambia utakoma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom