Natafuta Mume

Natafuta Mume

Faithcolly

Member
Joined
May 30, 2013
Posts
31
Reaction score
10
sifa za huyo mume

sifa za mume


- miaka kuanzia 39 -55
-mfanyabiashara au mfanyakazi
-mkristo mcha mungu
-anaishi dar
-elimu kidato cha nne hadi phd
-mrefu kiasi mweusi na mnene kiasi
- asiwe tegemezi

sifa zangu

-miaka 38
- nimejiajili
-mnene kiasi
-mweupe kiasi
-bachelor degree
-najiheshimu najiamini na nimcha mungu

angalizo'tafadhari nitumie email kama kweli unania tuu email za majaribu sitazipenda na ustaarabu ni kitu kizuri!email ni
faithcolly76@gmail.com email zote zitajibiwa.:A S wink:
 
sifa za huyo mume

sifa za mume


- miaka kuanzia 39 -55
-mfanyabiashara au mfanyakazi
-mkristo mcha mungu
-anaishi dar
-elimu kidato cha nne hadi phd
-mrefu kiasi mweusi na mnene kiasi
- asiwe tegemezi

sifa zangu

-miaka 38
- nimejiajili
-mnene kiasi
-mweupe kiasi
-bachelor degree
-najiheshimu najiamini na nimcha mungu

angalizo'tafadhari nitumie email kama kweli unania tuu email za majaribu sitazipenda na ustaarabu ni kitu kizuri!email ni
faithcolly76@gmail.com email zote zitajibiwa.:A S wink:

haya weee
 
Mbona mkija na vigezo vyenu mna nibagua jaman dah hebu punguzen vigez6
 
All the best coz najua kuna wengi humu wanatafuta kama wewe!
 
Apa JF ndo penyewe, humkosi! Mungu akutangulie ktk hili mdada.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom