kwani kulikuwa na ulazima wa kutaja kabila lako!?
Hujui kuwa wengine tuna aleji na hayo makabila!
kwanin wahaya hamuwez kuaongea /kuandika bila kuchanganya lugha! Au ndo kuonyesha umshomire huo.!
wewe! acha kuponda wenzio, yaani umemuona huyu tu? wakati watu kibao wanachanganya lugha! we vipi? au ushamezeshwa sumu ya kuchukia hawa watu? waache wajimwage bana uhuru wanao, me nawapenda kama nini ati!!