Dada, Mungu akutangulie, akuepushe na mafisi.
Ushauri wangu kwako, muombe sana Mungu, tena kwa kufunga na kuomba, Mungu atakupa mume.
Hata hivyo kwa usiongozwe na pressure ya umri ulionao. Namfahamu dada mwenye 35 yrs, hajateteleka wala haonyeshi kuyumba, very firm in faith. So have faith in God.
Maombi yangu ni kuwa Mungu akulinde na kukutunza dhidi ya matapeli wa internet na ufanikiwe kwa yale unayoyaendea. Kristo Yesu akutunze na kufungua milango ya baraka kwakoAhsante kalumbu, kyala aliko
Ahsante kalumbu, kyala aliko
Ni-pm tupeane contacts, hope ninazo sifa zote
Dada angu kuwa makini sana usije ukaumizwa x2.We ukitaka kuwakomoa utakaye mpata usimpe mzigo mpaka ndoa utaona watakavyo ondoka wenyewe