Natafuta mume

Kweli wajinga hii Nchi ni wengi., "awe na mtaji wa kuanzia milion mia" kwani unaolewa na mtaji au unaolewa na mwanaume. Wew hata akija kapuku kama anajielewa olewa naye tu mengine Mungu ataajilia.
Mjinga mwenyewe na ukoo wako
 
Wenye videgree vyetu na mishahara ya kuunga unga ngoja tukae pembeni kwanza..😃
 
Hahaaaa sasa wasiokunywa pombe na kutovuta sigara ndio wasabato
 
SASA HUYO.MWENYE SIFA HIZO NI MUME WA MTU AU SINGLE FARTHER


BLAD FUCKING.

Click
 
Kwamba sisi wasabato tumekukosea nini hadi utukatae mapema kabisa?

Ningekupa kijana wangu ila basi tena!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…