Natafuta mume

Natafuta mume

Hapa ndio huwa nachanganyikiwa mtu anaesema ni darasa la saba anaeza andika vizuri kulinganisha na mtu anaejifanya amesoma,

Vitu kama HESHIMA, NIDHAMU, BUSARA ni vitu ambavyo ni bure kabisa kuvipata ila kwa wadada walosoma vinawashinda ndio maana watu wengi wanajiolea hawa hawa wa darasa la saba, magraduates wanabaki tu kupigana majungu kwene social medias huku umri unasonga tu, ikumbukwe kwamba kwa mwanamke getting married is a dream come true...

ALL THE BEST NDUGU....
 
Hapa ndio huwa nachanganyikiwa mtu anaesema ni darasa la saba anaeza andika vizuri kulinganisha na mtu anaejifanya amesoma,

Vitu kama HESHIMA, NIDHAMU, BUSARA ni vitu ambavyo ni bure kabisa kuvipata ila kwa wadada walosoma vinawashinda ndio maana watu wengi wanajiolea hawa hawa wa darasa la saba, magraduates wanabaki tu kupigana majungu kwene social medias huku umri unasonga tu, ikumbukwe kwamba kwa mwanamke getting married is a dream come true...

ALL THE BEST NDUGU....
Jamani nasisitiza mimi ni la saba B na si vinginevyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom