Natafuta mume

Mimi ni mwanamke wa miaka 28, nina mtoto, ni mwajiriwa natafuta mwanaume wa maisha yangu awe mkristo miaka 30-36, mwenye ajira, mwenye hofu ya Mungu.Nimechoka kuumizwa.

Ukiona haikuhusu potezea sio kuandika matusi.
Weka kapicha basi
 
2013 ulikuja hapa jukwaani ukitafuta mme leo nako umerud pole sana dada yangu japo vigezo sina
Saaafi sana kwa kumbukumbu nzuri,hawa ndio matapeli wenyewe!hata enzi za Kim2 alikuwa anajifanya anatafuta mchumba...nashukuru umemuumbua
 
Reactions: PNC
Mimi ni mwanamke wa miaka 28, nina mtoto, ni mwajiriwa natafuta mwanaume wa maisha yangu awe mkristo miaka 30-36, mwenye ajira, mwenye hofu ya Mungu.Nimechoka kuumizwa.

Ukiona haikuhusu potezea sio kuandika matusi.
"..Naona wafanya biashara hapa hatuna chetu"
 
Ukimpata Yesu utakuwa umepata vyote
Wala hutaumizwa
Alibeba fadhaa zetu
 
Kwa sisi wa Afrika, mwanamke kuwa na mtoto kabla ya Ndoa kidooogo ni mutihani kwa sasa tafuta mume muzungu
 
Da usijali utampata ambaye nae ana mtoto ila toa hcho kigezo cha kuajiriwa . Maisha ya ndoa ni zaidi ya kuajiriwa wako watu wanauza karanga na wanalisha watoto na familia na kusomesha na maisha yanaenda.
 
V
i
Vigezo huna kaa kimya.waachie wenye vgezo.
Mapenzi ya siku hizi bwana. Yamekua kama BSS. Ndio maana mnaumizwa. Tatizo mnakua na mnaowataka. Eti awe na ajira sijui vitu gani gani. Yaani wanawake mmekua cheap sana ndio maana mnadharauliwa. Miaka ya juzi tu kumpata mwanamke lazima umfukuzie miezi sita. Lakini saizi mnajitangaza utadhani maeneo mnayoishi hakuna wanaume. Inawezekana nyie ndo wale malaya mpaka mnatemwa mate maeneo mnayotokea hivyo mnatafuta sehemu nyingine
 

Hii ni post yako ya 2013, miaka 3 iliyopita, je hukupata mama angu? Au ndio huyo aliekuzalisha au ulikua na mtoto kabla.
Pole sana. Wanaume waaminifu tumebakia wachache sana mbaya zaidi na sisi waaminifu hatutaki kuamini mwanamke yoyote. Pole utampata lakini.
 
duh bahati mbaya hainihusu. vp hauna mdogo wako wa kike...? lol
btw God bless you shem mtarajiwa.
 
Da usijali utampata ambaye nae ana mtoto ila toa hcho kigezo cha kuajiriwa . Maisha ya ndoa ni zaidi ya kuajiriwa wako watu wanauza karanga na wanalisha watoto na familia na kusomesha na maisha yanaenda.
Ukizingatia waliopo kwenye ajira hawazidi 3 ml na wanawake wapo 10 ml wanaohitaji kuolewa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…