Natafuta mume

Natafuta mume

lupala

Member
Joined
Apr 7, 2013
Posts
10
Reaction score
10
Mimi ni mwanamke wa miaka 28, nina mtoto, ni mwajiriwa natafuta mwanaume wa maisha yangu awe mkristo miaka 30-36, mwenye ajira, mwenye hofu ya Mungu.Nimechoka kuumizwa.

Ukiona haikuhusu potezea sio kuandika matusi.
 
Mimi ni mwanamke wa miaka 28, nina mtoto, ni mwajiriwa natafuta mwanaume wa maisha yangu awe mkristo miaka 30-36, mwenye ajira, mwenye hofu ya Mungu.Nimechoka kuumizwa.

Ukiona haikuhusu potezea sio kuandika matusi.
Hutapata mwenye ajira her useme yyte anaefigtht mpunga.hao wa ajira ndo wakuumiza
 
Mimi ni mwanamke wa miaka 28, nina mtoto, ni mwajiriwa natafuta mwanaume wa maisha yangu awe mkristo miaka 30-36, mwenye ajira, mwenye hofu ya Mungu.Nimechoka kuumizwa.

Ukiona haikuhusu potezea sio kuandika matusi.
Mimi ninafanya kazi zangu, VIP nitakufaa?
 
Suala la wanawake kuzaa kabla ya ndoa limepamba moto kweli kweli!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom