Natafuta mume wa kunioa

The world itself is not fair,huwezi pata mwanaume perfect kama huyo unataka,sali sana mrembo!!!!!!
 
Naitwa ibrahim juma ni mwl.primar umr ni miaka 22 ....natafuta mchumba kwa wanajamii ......nataka kuoa kwa aliye tyar naomba tuwasiliane whatsapp 0683708181
 

Mkuu nafikiri alikuwa na maana ya kinky!!! hahahaaaaa!
 
Sio rahisi kumpata mtu mwenye sifa zote uzitakazo coz hakuna binadamu aliyekamilika. Cha msingi punguza papara,siku zote mume mwema hutoka kwa Mungu nasio hivi mitandaoni, hapo watu watakukejeli tu unless ur not serious. Pia jiangalie na wewe,una kasoro gani na jirekebishe. Some times tunakosa wachumba kutokana na kasoro tulizo nazo sisi wenyewe.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…