Natafuta mume wa kunioa

Natafuta mume wa kunioa

Awe na hela ya kujimu mahitaji yangu Bali Mimi I will be a submissive wife

Nina miaka 22 Mimi ni mwana mitindo natoka Kenya ninahitaji mapenzi ya kweli nanipo serious

Kama Kuna yoyote anaitaji mahusiano yakudumu mpaka ndoa naomba uje PM tafadhali tuyajenge
Kujimu eeh huyu ayupo
 
Awe na hela ya kujimu mahitaji yangu Bali Mimi I will be a submissive wife

Nina miaka 22 Mimi ni mwana mitindo natoka Kenya ninahitaji mapenzi ya kweli nanipo serious

Kama Kuna yoyote anaitaji mahusiano yakudumu mpaka ndoa naomba uje PM tafadhali tuyajenge
Namna yako nahitaji 0614500543
 
Awe na hela ya kujimu mahitaji yangu Bali Mimi I will be a submissive wife

Nina miaka 22 Mimi ni mwana mitindo natoka Kenya ninahitaji mapenzi ya kweli nanipo serious

Kama Kuna yoyote anaitaji mahusiano yakudumu mpaka ndoa naomba uje PM tafadhali tuyajenge
- Hapo kwenye hela dada hutapata mwanaume siku hazilingan leo umepata kesha lah.
- umesema mahitaj yako umezingua kinoma.
ilitakiwa useme mahtaji ya family yetu.

hapo napata picha kuna kijana wa watu atatumika vibaya, NA wakat mnadai 50\50. tuhudumiane wote ata wew uninunulie mpaka suruali.
sema zenu hela zina macho zinawauma kinoma
 
Awe na hela ya kujimu mahitaji yangu Bali Mimi I will be a submissive wife

Nina miaka 22 Mimi ni mwana mitindo natoka Kenya ninahitaji mapenzi ya kweli nanipo serious

Kama Kuna yoyote anaitaji mahusiano yakudumu mpaka ndoa naomba uje PM tafadhali tuyajenge
Ati iaje?!
 
Hii ndo JF hata ukiwa serious watakona nyau tu. Wengine wanasema we listen and we don't judge, humu kuna mahakimu na majaji wa kutosha.
 
Kaka hela ipo ya kunitunza
Hili ni tatizo mnakuwaga nalo sana kina mama, jambo serious unalihandle kama mzaha!

Hivi kweli muoaji huulizwa maswali ya namna hiyo, kwamba 'ana hela? '

Swali hili ka'haujui, linashusha hadhi ya mjenga hoja na kupelekea kuonekana ni mtu asiye na maadili.

Suala la kuoa hufanywa na mwanaume kwa kulifanyia maandalizi ya mahari pamoja na namna atakavyomtunza mkewe watakapoanza maisha.

Inavunja moyo kuona muolewaji akianza kuhoji hoji wajibu wa mume namna hiyo.

Maandalizi ya kuoa ni jambo la muhimu kwa mwanaume ni wajibu wake, lakini jambo la kuwa muki halina ulazima wowote.

Anza maisha ya ndoa, mengine ya hela etc hufuata watu wakiwa pamoja.
 
Awe na hela ya kujimu mahitaji yangu Bali Mimi I will be a submissive wife

Nina miaka 22 Mimi ni mwana mitindo natoka Kenya ninahitaji mapenzi ya kweli nanipo serious

Kama Kuna yoyote anaitaji mahusiano yakudumu mpaka ndoa naomba uje PM tafadhali tuyajenge
Hongera
 
Acha bass
Awe na hela ya kujimu mahitaji yangu Bali Mimi I will be a submissive wife

Nina miaka 22 Mimi ni mwana mitindo natoka Kenya ninahitaji mapenzi ya kweli nanipo serious

Kama Kuna yoyote anaitaji mahusiano yakudumu mpaka ndoa naomba uje PM tafadhali tuyajenge
Acha bass.
 
Awe na hela ya kujimu mahitaji yangu Bali Mimi I will be a submissive wife

Nina miaka 22 Mimi ni mwana mitindo natoka Kenya ninahitaji mapenzi ya kweli nanipo serious

Kama Kuna yoyote anaitaji mahusiano yakudumu mpaka ndoa naomba uje PM tafadhali tuyajenge
Ukifika chuo usiige ya chuo. Kujifanya mjuaji kumbe mshamba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom