Natafuta mume tuoane

Salama wakuu wa love connect.

Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37, nina mtoto mmoja wa mwaka mmoja, baba yake tuliachana ila hatukuwahi kuishi pamoja, nimeajiriwa serikalini, nina elimu ya masters.

Umbo langu ni mnene kiasi, maji ya kunde, dini mkristo mkatoliki, ninaishi dar.

Natafuta mume wa kufunga nae ndoa na kumaliza nae muda wa kuishi duaniani; awe mwenye umri kuanzia miaka 37, Mwenye elimu kuanzia chuo kikuu, asiwe mnene, rangi yoyote, mwajiriwa ama mtafutaji, anayejua umuhimu wa maisha na ndoa, mwenye kumpenda mke na atakayemkubali na kumpenda mwanangu, awe mkristo wa dhehebu lolote isipokuwa msabato.

Nitampenda kwa moyo wangu wote na kuwa mwaminifu kwake.

Kwa anayekubali vigezo anakaribishwa PM tafadhali.
Ulishapata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salama wakuu wa love connect.

Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37, nina mtoto mmoja wa mwaka mmoja, baba yake tuliachana ila hatukuwahi kuishi pamoja, nimeajiriwa serikalini, nina elimu ya masters.

Umbo langu ni mnene kiasi, maji ya kunde, dini mkristo mkatoliki, ninaishi dar.

Natafuta mume wa kufunga nae ndoa na kumaliza nae muda wa kuishi duaniani; awe mwenye umri kuanzia miaka 37, Mwenye elimu kuanzia chuo kikuu, asiwe mnene, rangi yoyote, mwajiriwa ama mtafutaji, anayejua umuhimu wa maisha na ndoa, mwenye kumpenda mke na atakayemkubali na kumpenda mwanangu, awe mkristo wa dhehebu lolote isipokuwa msabato.

Nitampenda kwa moyo wangu wote na kuwa mwaminifu kwake.

Kwa anayekubali vigezo anakaribishwa PM tafadhali.
Unavigezo kama ww ndio waoaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila la kheri dada yetu. Ila ukiona siku zinayoyoma, jaribu kulegeza masharti japo kidogo. Issue sijui za unene, kuajiriwa etc are temporary and could change any time...
Masharti lazima yawepo, yaani ni heri kuwa singo kuliko kuolewa ili mradi eti nimeolewa.

By ze way nilishampata nayeona ananifaa kuishi nae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kiukweli Dada hata Mimi sijaolewa ila huwezi kuchagua mume awe Na degree au nini ujue elimu sio ndio mapenz ya dhati kikubwa kupata mume atakae kuthamini,atakaejua thamani yako,mwanaume atakae kuheshimu kikubwa awe mtafutaji ajitambue awe nahofu yamungu tu Mimi kama mwanamke mwenzio hicho kigezo cha elimu utawakosa wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoa ni zaidi ya mapenzi ya dhati.

Ndoa ni maisha.

Unaweza ukapendwa kwa dhati lkn mkashindwa kuelewana mitazamo na kwenye mipango mbalimbali kwasababu ya tofauti ya elimu. Mwisho mkawa mnalumbana ndani ingawa mnapendana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salama wakuu wa love connect.

Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37, nina mtoto mmoja wa mwaka mmoja, baba yake tuliachana ila hatukuwahi kuishi pamoja, nimeajiriwa serikalini, nina elimu ya masters.

Umbo langu ni mnene kiasi, maji ya kunde, dini mkristo mkatoliki, ninaishi dar.

Natafuta mume wa kufunga nae ndoa na kumaliza nae muda wa kuishi duaniani; awe mwenye umri kuanzia miaka 37, Mwenye elimu kuanzia chuo kikuu, asiwe mnene, rangi yoyote, mwajiriwa ama mtafutaji, anayejua umuhimu wa maisha na ndoa, mwenye kumpenda mke na atakayemkubali na kumpenda mwanangu, awe mkristo wa dhehebu lolote isipokuwa msabato.

Nitampenda kwa moyo wangu wote na kuwa mwaminifu kwake.

Kwa anayekubali vigezo anakaribishwa PM tafadhali.
Mimi nimekupenda kutokana na vigezo mimi mkristu, 32 age, mwajiriwa serikalini, elimu bachelor, nimezaa na wadada watatu tofauti hivyo Nina watoto watatu wapo kwa bibi yao kama uko tayari kwa hilo na Mimi nipo tayari mshahara wako ni non of my business utajua mwenyewe utakavyotumia ila Mimi mahitaji yote ya familia kama baba/mme hayatanisumbua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom