keshy super sembe
Member
- Nov 3, 2016
- 83
- 55
MmmmhHi baby nilikuapproach bado nakupenda kama unaona nameet your dream ni pm tafadhali
Sent from my HUAWEI LUA-L21 using JamiiForums mobile app
UlishapataSalama wakuu wa love connect.
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37, nina mtoto mmoja wa mwaka mmoja, baba yake tuliachana ila hatukuwahi kuishi pamoja, nimeajiriwa serikalini, nina elimu ya masters.
Umbo langu ni mnene kiasi, maji ya kunde, dini mkristo mkatoliki, ninaishi dar.
Natafuta mume wa kufunga nae ndoa na kumaliza nae muda wa kuishi duaniani; awe mwenye umri kuanzia miaka 37, Mwenye elimu kuanzia chuo kikuu, asiwe mnene, rangi yoyote, mwajiriwa ama mtafutaji, anayejua umuhimu wa maisha na ndoa, mwenye kumpenda mke na atakayemkubali na kumpenda mwanangu, awe mkristo wa dhehebu lolote isipokuwa msabato.
Nitampenda kwa moyo wangu wote na kuwa mwaminifu kwake.
Kwa anayekubali vigezo anakaribishwa PM tafadhali.
Yaani wewe bwana sasa mnene nichukue mnene Jamani Mimi mfupi nichukue mfupi mbaya nichukue mbaya Jamani khaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Unavigezo kama ww ndio waoaaSalama wakuu wa love connect.
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37, nina mtoto mmoja wa mwaka mmoja, baba yake tuliachana ila hatukuwahi kuishi pamoja, nimeajiriwa serikalini, nina elimu ya masters.
Umbo langu ni mnene kiasi, maji ya kunde, dini mkristo mkatoliki, ninaishi dar.
Natafuta mume wa kufunga nae ndoa na kumaliza nae muda wa kuishi duaniani; awe mwenye umri kuanzia miaka 37, Mwenye elimu kuanzia chuo kikuu, asiwe mnene, rangi yoyote, mwajiriwa ama mtafutaji, anayejua umuhimu wa maisha na ndoa, mwenye kumpenda mke na atakayemkubali na kumpenda mwanangu, awe mkristo wa dhehebu lolote isipokuwa msabato.
Nitampenda kwa moyo wangu wote na kuwa mwaminifu kwake.
Kwa anayekubali vigezo anakaribishwa PM tafadhali.
Masharti lazima yawepo, yaani ni heri kuwa singo kuliko kuolewa ili mradi eti nimeolewa.Kila la kheri dada yetu. Ila ukiona siku zinayoyoma, jaribu kulegeza masharti japo kidogo. Issue sijui za unene, kuajiriwa etc are temporary and could change any time...
Ndoa ni zaidi ya mapenzi ya dhati.Mimi kiukweli Dada hata Mimi sijaolewa ila huwezi kuchagua mume awe Na degree au nini ujue elimu sio ndio mapenz ya dhati kikubwa kupata mume atakae kuthamini,atakaejua thamani yako,mwanaume atakae kuheshimu kikubwa awe mtafutaji ajitambue awe nahofu yamungu tu Mimi kama mwanamke mwenzio hicho kigezo cha elimu utawakosa wengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimekupenda kutokana na vigezo mimi mkristu, 32 age, mwajiriwa serikalini, elimu bachelor, nimezaa na wadada watatu tofauti hivyo Nina watoto watatu wapo kwa bibi yao kama uko tayari kwa hilo na Mimi nipo tayari mshahara wako ni non of my business utajua mwenyewe utakavyotumia ila Mimi mahitaji yote ya familia kama baba/mme hayatanisumbuaSalama wakuu wa love connect.
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37, nina mtoto mmoja wa mwaka mmoja, baba yake tuliachana ila hatukuwahi kuishi pamoja, nimeajiriwa serikalini, nina elimu ya masters.
Umbo langu ni mnene kiasi, maji ya kunde, dini mkristo mkatoliki, ninaishi dar.
Natafuta mume wa kufunga nae ndoa na kumaliza nae muda wa kuishi duaniani; awe mwenye umri kuanzia miaka 37, Mwenye elimu kuanzia chuo kikuu, asiwe mnene, rangi yoyote, mwajiriwa ama mtafutaji, anayejua umuhimu wa maisha na ndoa, mwenye kumpenda mke na atakayemkubali na kumpenda mwanangu, awe mkristo wa dhehebu lolote isipokuwa msabato.
Nitampenda kwa moyo wangu wote na kuwa mwaminifu kwake.
Kwa anayekubali vigezo anakaribishwa PM tafadhali.
Ndoa ni zaidi ya dyudyu, ndoa ni maisha.Wewe sio muolewaji unaolewa na miaka au unataka dyudyu subiri wa 40years anakuja ila mimi ni mariooo nije pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila inaonekana unaelewa kuhusu maisha, kwa nini hujapata mume mpaka umri huo?Ndoa ni zaidi ya mapenzi ya dhati.
Ndoa ni maisha.
Unaweza ukapendwa kwa dhati lkn mkashindwa kuelewana mitazamo na kwenye mipango mbalimbali kwasababu ya tofauti ya elimu. Mwisho mkawa mnalumbana ndani ingawa mnapendana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasabato waoane na wasabato wenzao kwa kweliUbaguzi kwa wasabato