Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,707
- 3,563
- Thread starter
- #261
Kama ulienda shule basi rudi tena ukarisiti!!!Mwanamke hawezi kuoa bali huokewa. Sasa huko kuoa unakosema ina maana yeye mwanaume akimaliza kukuoa na wewe unamwoa??
Inaelekea ulizungusha kama Bashite. Hata kiswahili tu kinakushinda!!