Unankizazi kizuri 36 wawili
50 si tunapopoaaaa 6
Allah akupe hitaji la moyo wakoo best ntazidi kukuombea ungetujuza baba wa watoto kama kafa ama mzima wasikuulize maswali mengi
Wewe ndio waridi wangu niliyekua nakutafuta Waridi88
Mume umepata tayari,njoo PM tupange harusi iwe lini na wapi,
Naomba huu uzi uishie hapa,
Nawakaribisha kwenye harusi yangu binti kiziwiephen_To yeyeLamomy na wengine.
UMENIKUMBUSHA MBALI SANA NILIWAHI PENDANA NA BINTI MMOJA HUKU MIAKA YA 2013 MPK 15
NILIPOMGUSA SIKU YA KWANZA BAADA YA WIKI AKASEMA ANA MIMBA MMMH
NDUGU NILIMJUZA DOMPO ILIKUCHANGANYA NN MBONA NILIVAA CONDOM HAYA YA MIMBA YAMETOKA WAPI.....
AKAANZA NAOMBA NSAIDIE NKATOE NKAMWAMBIA HATA MM NALEA WANANGU MUNGU ANAJUA KAMA WANGU SO WACHA HUYU TULEE UZAE
MDADA HAKUAMIN NILIJITOLEA MPAKA ANAZALIWA NAPITA NA NDOM ZANGU KAMEKUWA KAMEFANANA NA BABAKE ASIEJULIKANA...LEO NIKIKUTANA NAE KANIIITA MA DADY SO PROUD HOPE ATAKUJA SAIDIE NA WENZIE WA HIARI
MSIKIMBILIE KUHONDOMOLA FUNGEN NDOA CHKN AFYA ZENU PAMOJA NA KAMA MWENZIO ANA MIMBA TAYARI NK
MAISHA YANAENDELEA ELSE NAWATAKIA KILA LA KHERI NA SIKU YA HARUSI USINISAHAU KADI YA MWAALIKOO YA MCHANGO KWA SASA BADO NAJENGA LILE KANISA LANGU GOBA
Waislamu changamkieni fursa hiyo.
Kwanza huyu Hana bikra hivyo usumbufu alioupata Alhaj Bugati wa kuondoa bikra hamtakumbana nao.
Pili hakuna atakayekudai mahari maana bibie alishatolewa mahari kwenye ndoa zake mbili za mwanzo (au moja)
Tatu. Bibie ameonyesha kwamba anazaa maana tayari anao wawili.
Nne. Bibie Hana tamaa maana anatongoza na wengi lakini hawataki.
Kama waislamu wanazingua bibie panua wigo Basi ujumuishe na wa dini ya upande wa pili uone inbox itakavyofurika.
Waalykum Salam,, kipenzi amka usiku simamisha swala za usiku,omba dua,mtaje sana Allah na kumswalia mtume ...Fanya sana istighfar In shaa Allah, kama lina kheri kwako Mungu atakujaalia hitaji lako kwa wakati ambao ni sahihi.... usisahau kuendelea kuamini katika qudra na qadar za Allah wakati unasubiria stara yako ya ndoa...much love habibti
mwanamke una watoto wawili au watatu huwa unatafuta mume au mlezi wa watoto wako, ila kama una hela atajitikeza atakaye jidai fala akuchune mpaka useme inatosha!