Weka picha tuone
Mimi ni binti wa kiha,elimu yangu ya chuo,urefu wangu ni cm 155. Natafuta mwanamme atakayekuwa mume wangu kunako majaaliwa ya Mwenyezi Mungu,awe na sifa zifuatazo:Awe mkatoliki,anayejua kupenda,elimu ya chuo,asiwe mlevi,awe na kazi halali,awe na umri wa kuanzia miaka 33 hadi 38.Karibuni kwa PM. TAHADHALI:Niko serious so, usilete mzaha hasa kwenye PM!
Lol! Umepata wapi picha yangu mkuu? Anyway nashukuru coz sitasumbuliwa tena na wataka picha!
Mimi ni binti wa kiha,elimu yangu ya chuo,urefu wangu ni cm 155. Natafuta mwanamme atakayekuwa mume wangu kunako majaaliwa ya Mwenyezi Mungu,awe na sifa zifuatazo:Awe mkatoliki,anayejua kupenda,elimu ya chuo,asiwe mlevi,awe na kazi halali,awe na umri wa kuanzia miaka 33 hadi 38.Karibuni kwa PM. TAHADHALI:Niko serious so, usilete mzaha hasa kwenye PM!
No, mtoto nitamkomaza bure! Nataka mtu mzima mwenye timamu zake.
Unachosema ni kweli,ila mtazamo wa jamii zetu ndo unatufikisha hapa,kwan mke akimzid elimu/kipato mme then kukawa na mahaba motomoto kias cha kusaidiana kaz za nyumban jamii inachukulia kuwa mme hafurukuti!
Mimi ni mume mtarajiwa wa msichana mmoja hivi, una maana na mimi mume mtarajiwa unanitafuta?Natafuta mume mtarajiwa!
halo! Kweli ww umedoda inamaana umewakosa mtaani kwenu, classmate, hata kanisan unakosali hamuna duuu! Hata wa kusakiziwa na rafiki zako hamuna lol! Hata mm naogopa kuingia pm najua ntaingia chakike tu. Kwaheriiii eeeee