AminaBwana na akusimamie pia akutendee vilivyo,umpate wa moyo wako aitulize nafsi yako.. wa majeshi afaae atasikia kilio chako na atakupatia njiwa wako Ee mtumishi wa alie hai isikie na uitii sauti yake yeye nae atakutendea yaliyo mema.. bwana wa majeshi na akuongoze uijenge familia salama yenye upendo na amani isiyo na makashkash wala mosukosuko! Bwana na akutie moyo wa subira..
Sema AMEN.
Karibu inbox mm Muhehe kabisa.Habari za majukumu wadau. Kama mada inavyojieleza naamini mwanaume anapatikana sehemu yoyote ile. Hitaji langu kubwa ni hilo.Mme wa mtu hapana.
Sifa zangu.
Umri :36
Nina mtoto mmoja wa miaka 5
Kazi :Nimeajiliwa serikalini
Kabila :Mbena
Sifa za Mwanaume
Umri 36:45
Awe Mbena au Muhehe
Nakuombea upate mume mwema wa ndoto zakoHabari za majukumu wadau. Kama mada inavyojieleza naamini mwanaume anapatikana sehemu yoyote ile. Hitaji langu kubwa ni hilo.Mme wa mtu hapana.
Sifa zangu.
Umri :36
Nina mtoto mmoja wa miaka 5
Kazi :Nimeajiliwa serikalini
Kabila :Mbena
Sifa za Mwanaume
Umri 36:45
Awe Mbena au Muhehe
Yeye ni wa kabila la huko.. Mbena....Ila najiuliza umeona nini kwa hayo makabila
Habari za majukumu wadau. Kama mada inavyojieleza naamini mwanaume anapatikana sehemu yoyote ile. Hitaji langu kubwa ni hilo.Mme wa mtu hapana.
Sifa zangu.
Umri :36
Nina mtoto mmoja wa miaka 5
Kazi :Nimeajiliwa serikalini
Kabila :Mbena
Sifa za Mwanaume
Umri 36:45
Awe Mbena au Muhehe
Naona umekuwa mhubiriBwana na akusimamie pia akutendee vilivyo,umpate wa moyo wako aitulize nafsi yako.. wa majeshi afaae atasikia kilio chako na atakupatia njiwa wako Ee mtumishi wa alie hai isikie na uitii sauti yake yeye nae atakutendea yaliyo mema.. bwana wa majeshi na akuongoze uijenge familia salama yenye upendo na amani isiyo na makashkash wala mosukosuko! Bwana na akutie moyo wa subira..
Sema AMEN.
Si nakuwinda wewe..😉😜Naona umekuwa mhubiri
Endelea kuwindaSi nakuwinda wewe..
Bwana atanifanyia wepesi nikupate mrembo..😉Endelea kuwinda
Habari za majukumu wadau. Kama mada inavyojieleza naamini mwanaume anapatikana sehemu yoyote ile. Hitaji langu kubwa ni hilo.Mme wa mtu hapana.
Sifa zangu.
Umri :36
Nina mtoto mmoja wa miaka 5
Kazi :Nimeajiliwa serikalini
Kabila :Mbena
Sifa za Mwanaume
Umri 36:45
Awe Mbena au Muhehe