Natafuta mume jamani mbona sipati

Komaa na Bwana Yesu utapata.Usilazimishe.Ila nakushauri utafute Mkristo,sio Mkristu.Mkristu atakusumbua.Sijui kama unanielewa.
Awe mweupe au maji ya kunde
mrefu
alie ajiriwa au mfanya biashara
umri 30 kuendelea
awe mcha mungu mkristu
 
Wewe sema unataka mume atakae kupenda kwa dhati na mcha Mungu nichek pm
 
Asante kwa ushauri
 
Humapti kwasababu bado uko kwenye stage ya kubagua wanaume. Ukiwa unahitaji ndoa kweli hutajali rangi yake. Endelea kusubiri maji ya kunde watakuja tu...
 
Wenzio tulikalia sifa tukaja kuolewa watu wenye sifa tofauti na tunaishi mpaka tuna wajukuu. Maji ya kunde au mweupu ukipata mkorogo wa kicongo je utajua? Akiachishwa kazi baada ya harusi tu utafanyaje? Akija mkristu au kama mwingine alivyosema mkristo whatever, halafu akaja na tabia za kukucontror unakoenda, unakopita, mshahara wako, ndugu zako je utaona sawa sababu ni maji ya kunde, mkristu/o, ameajiriwa/mfanyabiashara na umri huo?Fafakari kabla ya kuamua. Unaweza pata mzee au kijana kuliko wewe halafu mweusi kama Sokoine lakini ukawa na raha na amani kuliko hizo sifa zako zote ulizoweka.
 
Humapti kwasababu bado uko kwenye stage ya kubagua wanaume. Ukiwa unahitaji ndoa kweli hutajali rangi yake. Endelea kusubiri maji ya kunde watakuja tu...
Kabisaa ndo nimemwambia asiweke expensive wakat wanaume tuko simple
 
If you are serious pm your number
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…