Njoo nikufanyie counselling
Hahahahaha hahahaaa Hahahahaah nina counseling center MpwaKwi kwi kwi kwi lol! Good luck and all the best Mpwa.
Hahahahaha hahahaaa Hahahahaah nina counseling center Mpwa
Huwa hawana vigezo vinavyo hitajikaHivi nyie wanaume ambao kila uzi wa anayetafuta mume/mchumba mpo huwa 'hamfanikiwi?'
Miaka nenda rudi...
Umepata nipe mawasilianoAwe mweupe au maji ya kunde
mrefu
alie ajiriwa au mfanya biashara
umri 30 kuendelea
awe mcha mungu mkristu
Hupati mume kutokana na sifa unazotaka wewe, Naamini walikuja wanaume wengi tu lakini kwasababu wewe una vigezo vyako ukawakataa,sasa endelea kuchagua tu alafu uzee nao unakukaribiaAwe mweupe au maji ya kunde
mrefu
alie ajiriwa au mfanya biashara
umri 30 kuendelea
awe mcha mungu mkristu
Unataka wangapi?Awe mweupe au maji ya kunde
mrefu
alie ajiriwa au mfanya biashara
umri 30 kuendelea
awe mcha mungu mkristu