Natafuta mume anayeishi Dar

Natafuta mume anayeishi Dar

Ungekua na miaka 22 kidogo ningepiga simu ,samahani lakini mpendwa usijali utampata tu vumilia kama miaka 6 ijayo lazima atokee tu
 
Hakuna mwanaume ambae hana tatizo la kibiologia wala kifizikia mwenye umri wa miaka 34-38 hakawa hana mtoto na hajaoa nadhani ungetoa kigezo cha kuto kuwa na mtoto kwa umri huo
Mkuu Mimi sina MTOTO aiseee na nipo vizuri kabisaaaaaaaa!
 
Dada Mungu atakupa hitaji la moyo wako sbbu umeomba kutoka moyoni na uzidishe maombi pia kumpata mtu sahihi achana na wanaocheka jf kama umeizoea haikupi shida tupo watu tofaut na kila mtu ana akili yake na kingine usikate tamaa kabisa
 
Back
Top Bottom