Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,159
- 15,633
Kwa akili hizi tusitegemee vijana critical kwa Sasa. Kwa nn mnapenda mteremko? Msaada una gharama zake Mdogo wangu. 2004 NIliwahi kwenda interview Mtwara nikiwa na 50,000/= tu nikalala Guest 5,000/= . Japo Hapo Nina ndugu wengi tu
Muongo 2004 hela ya Mkapa ilikuwa na thamani kubwa sana na bado sehemu nyingi za miji ya Tanzania hakujakuwa na guest houses za ku-cost 5,000/= per day na kwa Mtwara na-assume ulilipa ukakaa zaidi ya week kwa hiyo hiyo 5,000/=,wewe mbona unapendaga kuwa muongo muongo sana?
Dar kipindi hiko ndo ujana wangu unachanganya guest nimeingia sana sijawahi kulipa zaidi ya 3,000/= tena nyumba classic hizo za uchochoroni zilikuwa 1,500/= au 2,000/= 5,000/= ilikuwa ni kwa hotel za Kariakoo ikizidi sana 6/7,000/= leo useme Mtwara guest 2004 zilikuwa 5K unadhani upo na wanao humu unawadanganya siyo?