Natafuta mtu wa Tigopesa, Mpesa na Airtel Money wa kushare nae pango la frame

Babu Kijana

JF-Expert Member
Jan 24, 2013
587
276
Kama wewe una line za huduma hizo na hujui wapi ufanyie biashara hiyo, mie ninamiliki stationery Kinondoni na biashara ya Miamala ya pesa kwa mitandao wapo wateja wengi ila mimi sina mtaji wa kuweka biashara hiyo, kama wewe unazo line hizo na huna mahali pa kufanyia biashara ni-pm tuweze kulipia pango kwa pamoja huku tukifanya biashara tofauti, nalipia laki moja kwa mwezi.
 
Kama wewe una line za huduma hizo na hujui wapi ufanyie biashara hiyo, mie ninamiliki stationery Kinondoni na biashara ya Miamala ya pesa kwa mitandao wapo wateja wengi ila mimi sina mtaji wa kuweka biashara hiyo, kama wewe unazo line hizo na huna mahali pa kufanyia biashara ni-pm tuweze kulipia pango kwa pamoja huku tukifanya biashara tofauti, nalipia laki moja kwa mwezi.
kino sehemu gani?
 
Tatizo kubadilisha jina kaka ndio mziki, sijajua wewe unafanyaje?
Asilimia 90 ya mawakala wanatumia majina ya mawakala wakuu ktk line zao na wanapiga kazi na kupata faida kubwa. Ht hivyo uwezekano wa kubadilisha upo ila unatakiwa uwe na leseni ya biashara, TIN, kitambulisho na picha nne.
 
s
Asilimia 90 ya mawakala wanatumia majina ya mawakala wakuu ktk line zao na wanapiga kazi na kupata faida kubwa. Ht hivyo uwezekano wa kubadilisha upo ila unatakiwa uwe na leseni ya biashara, TIN, kitambulisho na picha nne.
sawa nimekupata mkuu ila kwa sasa sijajipanga bado
 
Back
Top Bottom