Uchawi ni nini katika utafiti wako/wenu? Ushirikina na uchawi ni kitu kimoja? Mazingaombwe ni nini? Hii ni muhimu sana kwa maana si rahisi kuweza kutafuta kitu ambacho hukifahamu.Wakuu,
Nina miaka 4 sasa nafanya utafiti kuhusu kuwepo kwa uchawi sijapata kujiridhisha kihalisia kuwepo kwa ushirikina.
Wakuu,
Nina miaka 4 sasa nafanya utafiti kuhusu kuwepo kwa uchawi sijapata kujiridhisha kihalisia kuwepo kwa ushirikina.Nimetembelea maeneo yote yanayosemekana ni maarufu kwa ushirikina kama Tanga, Sumbawanga, Pemba na Bagamoyo. Huko pemba nimefika maeneo ya wete kuna kamsitu wanasema ndio hatari kwa wachawi kukaa na kufanya matambiko kuna makaburi ya zamani sana walisema tukifukua tutakufa kwa vile tutachokoza 'wazee' tumefanya excavation vizuri tukakuta artifacts na masufuria ma hirizi na mavitambaa mekundu na meusi na manyoa, ni mwaka sasa na mpaka sasa hata mafuta hakuna aliye pata kwenye team yetu. Tulilala hapo hapo makaburini kwa kutumia tent hata mbu hakutun'ata.
Sasa swali ni kwamba mtu anasema ooh nimelogwa na kukimbilia kwa hawa watumishi fake wa Mungu na kusema wamepona, wamenpona nini? Mimi nimeomba wazee waniloge wakasema wameniloga sitozaa kabisa kwa sasa na miaka 28 na watoto 6 na wana afya nzuri na nimepima DNA ni wa kwangu.
Kama kuna mtu amelogwa au anaweza kuniloga atoe fact hapa.
Mzizi mkavu Asprin Bujibuji Nyani Ngabu faiza Fox Yericko Nyerere
Kwa post hii,kweli umerogwa!Kama huna cha kujibu bora
ukae kimya. Wanasema bora kukaa kimya nakuonekana unajua kuliko kufungua
mdomo na kuthiirishia umma ulivyo mtupu. Kila nacho post ndio jibu hilo
hilo unatoa. Inaonekana wewe mjane na unaendeshwa kwa hisia zaidi ya
reasoning. Kuna tiba nitakuponya kisaikolojia kwa vile kila jamii ina
watu kama nyie na mko ili sisi tujione ni kiasi gani tumebarikiwa na
Mungu.
Kama kuna mtu amelogwa au anaweza kuniloga atoe fact hapa.
Mzizi mkavu Asprin Bujibuji Nyani Ngabu faiza Fox Yericko Nyerere
unaamini uwepo wa miujiza ,lakini huamini uwepo wa uchawi....majangaHilo la watoto naomba mliache kwa sasa. Siko kuelezea maisha yangu binafsi naulizia uchawi. Kuna member wanaonijua uhalisia wangu na hao watoto kwa mfano Bujibuji na @aspirin. Nikielezea nilivyopata hawa watoto itakuwa thread maisha yangu ni muujiza tosha kaka.
unaamini mungu yuou na anabariki lakini huamini kama kuna uchawi ambaye huyo anayekubariki anatambua na kuukiri upo...majangaKama huna cha kujibu bora ukae kimya. Wanasema bora kukaa kimya nakuonekana unajua kuliko kufungua mdomo na kuthiirishia umma ulivyo mtupu. Kila nacho post ndio jibu hilo hilo unatoa. Inaonekana wewe mjane na unaendeshwa kwa hisia zaidi ya reasoning. Kuna tiba nitakuponya kisaikolojia kwa vile kila jamii ina watu kama nyie na mko ili sisi tujione ni kiasi gani tumebarikiwa na Mungu.
kazi ipo....Wakuu,
Nina miaka 4 sasa nafanya utafiti kuhusu kuwepo kwa uchawi sijapata kujiridhisha kihalisia kuwepo kwa ushirikina.
Kama kuna mtu amelogwa au anaweza kuniloga atoe fact hapa.
Wamekudharau wala hawatakudhuru,ukitaka sema unataka kununua uchawi tena tangaza dau kubwa uone watakavyokuletea kila mmoja akijisifu wake ndiyo mkali tena watakujaribia kama siyo kwako kwa mwenzio unajua hii ni secret society fulani hivi sawa na freemason au haloween hawapendi kujionesha pasipo maslahi. hata biblia inatambua kuwa uchawi upo ila unadhbitiwa kwa jina la Yesu,wenzetu wengine kwao ni sehemu ya dini.unaweza kuletewa hata kwa njia ya meseji au hata kwa mawasiliano ya simu ila endelea na utafiti wako iko siku utauona
Kama kuna mtu amelogwa au anaweza kuniloga atoe fact hapa.
Mbona tayari usharogwa na aliyekuloga humjui,
Matokeo ya kulogwa huko ni haya unayoyaongea hapa na juzi ulisema tukukutanoshe na mwenye jamhuri kwakuwa unafanana nae tu, kibaya zaidi mchawi aliyekuloga kakupiga jabulani ya kutosha yani una miaka 28 na tayari una watoto 6, ukifika miaka 40 sijui utakuwa na sakosi ya aina gani.
Huo ndio uchawi, hakuna kingine
unaamini uwepo wa miujiza ,lakini huamini uwepo wa uchawi....majanga
unaamini mungu yuou na anabariki lakini huamini kama kuna uchawi ambaye huyo anayekubariki anatambua na kuukiri upo...majanga
kazi ipo....
hongera bro...Wakuu,
kwa sasa na miaka 28 na watoto 6 na wana afya nzuri na nimepima DNA ni wa kwangu.
Mbona tayari usharogwa na aliyekuloga humjui,
yani una miaka 28 na tayari una watoto 6, ukifika miaka 40 sijui utakuwa na sakosi ya aina gani.
Huo ndio uchawi, hakuna kingine