BlackBella
Member
- Aug 10, 2012
- 28
- 10
Mimi ni Mwanaume mwenye umri wa miaka 46, natafuta mtoto wa Hiari kwa jinsia yoyote ile atakaeridhia niwe baba yake wa Hiari, tuwasiliane kwa 0715 33 85 27
Mkuy huku jf utaishia kukutana tu na vituko! Kwa nini usiende kwenye vituo vya kulelea yatima?
daddy nmekubip....
Shkamoo daddy
Hahahaa hiii familia itakuwa kubwa
Hahahahahaha, nimekuwai eve mi nshamtumia sms na details zangu zote.
Mm ni Mwanaume mwenye umri wa miaka 46,natafuta mtoto wa Hiari kwa jinsia yoyote ile atakaeridhia niwe baba yake wa Hiari,tuwasiliane kwa 0715 33 85 27
daddy nmekubip....
Shkamoo daddy
Yan ni shidaaa....wacha tupate pa kudeka
itabidi daddy atufanyie intavyuu naona watoto tupo wengi ha ha ha
ha ha ha daddy ana lumbesa ndaniMweeeeh..! JF kweli ni never boring..
Ninasikia huyu baba wenu wa hiari alienda na sandarusi pale stanbic.. Itabidi tuwe marafiki wa karibu..