Natafuta: mtengeneza Blender ya lita 20.

Natafuta: mtengeneza Blender ya lita 20.

CWR2016

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2017
Posts
2,793
Reaction score
6,414
Habari.
Natafuta mtengeneza blender yenye uwezo wa ku kamua na kutengeneza juice Lita 20 au 15 kwa mara moja.

Najua SIDO wanazo lakini bei zao kidogo zipo juu.

Tuwasiliane kwa mdau anayeweza kutengeneza.

Nipo Dar es salaam.
 
Kuna jamaa yuko vizuri sana alintengenezea ile ya kuparaza chakula cha kuku.... weka mawasiliano yako nikuunganishe nae labda mtaelewana.
 
Back
Top Bottom