Natafuta mtaalam wa kutengeneza LED Name Display

Unajua kusema ukweli kuitengeza hiyo kitu wala sio ngumu vile. Nikitulia hata mimi mwenyewe naweza isuka.

Vifaa vya kutengeneza hiyo kitu vipo store za vifaa vya umeme kama digikey.com. Tena wala sio bei mbaya.

Na vifaa vikishakusanywa, mchezo unabaki ni kufanya soldering ya socket board, kama hii hapo chini:

quemu-albums-funny-pictures-picture753-socket.jpg


Of course, mtihani mkubwa utakuwepo kwenye kuandika program (BCD-Binary Code Decimals). Uzuri ni kwamba hata hiyo program unaweza ukaikoteza kwenye internet. Si unajua siku hizi unaweza kutengeneza hata ndege kwa kutumia internet.

Tatizo mimi itanichukua karne kuitengeneza. Electrical engineer anaweza kuifanya hii kazi kwa kutumia theluthi ya muda nitakaoutumia mimi kuifanya. Kwa kuwa sina background yoyote ya umeme and the like.

mkuu uko dar au wapi?
 
Hapana. Sasa hivi nimekuja U.S. kuja kubeba boksi kidogo. Lakini nitarudi Dar mapema mwezi wa kwanza.

okey, tutapiemiana ukija. mbona ishu zipo za kumwaga mpaka kwenye mabango barabarani kuna matangazo ya LED's ya kumwaga hapa hapa bongo wanatengeneza
 
DIT is Dar es salaam Institute of Technology wako pale Bibi tit na Morogoro ni chuo kuna wataalamu wazuri tu wa Electronics kama kweli unatoa pesa ya uhakika basi utawapata...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom