Natafuta Msichana wa kuoa

Natafuta Msichana wa kuoa

Wasichana wote tunawasomesha...labda ujaribu wamama au wajane.......

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Huyo mke utamfanya nini kama kuandika tuu ni tatizo???
 
Mnh hayo majibu,kama una roho nyepesi lazima uudedi....uzuri wake kuna PM wenye uhitaji kama wako watajisogeza tu huko.......lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom