Natafuta msichana wa kufunga nae pingu za maisha

Natafuta msichana wa kufunga nae pingu za maisha

Wasichana wa kuoa wanapatikana kwa njia hii siku hizi!

Naona sasa kuna haja ya kuwa na dating sites kila wilaya ili tuwarahisishie watu kama mtoa mada, ngoja nitafte wafadhili wa hio project
 
Mwisha watakuja mama na mtoto wake 18-40???
Alipata mtoto wa kile akiwa binti wa 18 years old.
Leo mwanae ana 22 years old [emoji5].
Mama wa binti katimiza 40 years old [emoji1].
Wote tupo nao humu jf, na bahati njema wote wameliona tangazo hili la jamaa...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Alipata mtoto wa kile akiwa binti wa 18 years old.
Leo mwanae ana 22 years old [emoji5].
Mama wa binti katimiza 40 years old [emoji1].
Wote tupo nao humu jf, na bahati njema wote wameliona tangazo hili la jamaa...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ukiingia JF inabidi uwe faragha zaidi ya kuangalia picha za ngono. Unakutana na mkweo humu kila siku unamwita mkuu.
 
jamani nashukuru nazidi kupokea maombi naiman nikimpata wa kweli nitamuweka hapa ila mchakato upo ukingon na ndoa itakuwa ndani ya uhuu mwaka
nipe tender ya kukutengenezea kadi na keki za harusi yako pamoja na niwe MC kwenye harusi yako ukishampata huyo mrembo wako
 
jamani nashukuru nazidi kupokea maombi naiman nikimpata wa kweli nitamuweka hapa ila mchakato upo ukingon na ndoa itakuwa ndani ya uhuu mwaka
Hahahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] unapokea maombi??? Vpi mchujo unaanza lini
 
Alipata mtoto wa kile akiwa binti wa 18 years old.
Leo mwanae ana 22 years old [emoji5].
Mama wa binti katimiza 40 years old [emoji1].
Wote tupo nao humu jf, na bahati njema wote wameliona tangazo hili la jamaa...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka Sana thanks kwa kunitengezea siku
 
Ukiingia JF inabidi uwe faragha zaidi ya kuangalia picha za ngono. Unakutana na mkweo humu kila siku unamwita mkuu.
Hata mimi nimeanza kustukia picha, maana nahisi hua tuna pishana na kijana wangu humu, na istoshe yawezekana nilisha muita mkuu[emoji2] [emoji2]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom