Natafuta mshirika katika biashara

Natafuta mshirika katika biashara

Ruska

Member
Joined
Sep 2, 2021
Posts
47
Reaction score
40
Habari wapendwa,

Mimi ni mwanamke ambaye natafuta mshirika katika biashara ya mgahawa wa chakula na vinywaji, anaweza kuwa wa kike au kiume ila awe anajitambua na kuelewa maisha yanvyokwenda. Pia awe mwaminifu na mchapakazi anaeishi Dar-es-salaam.Eneo la biashara ni mikocheni.

Nina masters in entrepreneurship and marketing na mtaji wa kiasi sh.mil 3 hivi. Nahitaji mshirika wangu awe na kianzio au mtaji atakaona unaweza kuwezesha hii biashara kuanza na kuendelea.

Nawakaribisha watu wote wenyekuvutiwa na wazo hili, na yeyote yule atayependa kushirikiana nami kufanya biashara hii tuwasiliane PM. Kila la kheri
 
Habari wapendwa,

Mimi ni mwanamke ambaye natafuta mshirika katika biashara ya mgahawa wa chakula na vinywaji, anaweza kuwa wa kike au kiume ila awe anajitambua na kuelewa maisha yanvyokwenda. Pia awe mwaminifu na mchapakazi anaeishi Dar-es-salaam.Eneo la biashara ni mikocheni.

Nina masters in entrepreneurship and marketing na mtaji wa kiasi sh.mil 3 hivi. Nahitaji mshirika wangu awe na kianzio au mtaji atakaona unaweza kuwezesha hii biashara kuanza na kuendelea.

Nawakaribisha watu wote wenyekuvutiwa na wazo hili, na yeyote yule atayependa kushirikiana nami kufanya biashara hii tuwasiliane PM. Kila la kheri

MIMI SINA MTAJI WA PESA,

NAOMBA KAZI KATIKA OFISI ITAYOANZISHWA MKUU.
 
Habari wapendwa,

Mimi ni mwanamke ambaye natafuta mshirika katika biashara ya mgahawa wa chakula na vinywaji, anaweza kuwa wa kike au kiume ila awe anajitambua na kuelewa maisha yanvyokwenda. Pia awe mwaminifu na mchapakazi anaeishi Dar-es-salaam.Eneo la biashara ni mikocheni.

Nina masters in entrepreneurship and marketing na mtaji wa kiasi sh.mil 3 hivi. Nahitaji mshirika wangu awe na kianzio au mtaji atakaona unaweza kuwezesha hii biashara kuanza na kuendelea.

Nawakaribisha watu wote wenyekuvutiwa na wazo hili, na yeyote yule atayependa kushirikiana nami kufanya biashara hii tuwasiliane PM. Kila la kheri
KWA nn unahisi 3million haitoshi?

Hebu tupe mchanganuo tujue tunakusaidia vp
 
KWA nn unahisi 3million haitoshi?

Hebu tupe mchanganuo tujue tunakusaidia vp
Nimeshapiga mahesabu haitoshi.na ingekuwa inatosha nisingehangaika kutafuta mshirika amini ninachokueleza. Nashukuru kwa kujali mkuu
 
Nimeshapiga mahesabu haitoshi.na ingekuwa inatosha nisingehangaika kutafuta mshirika amini ninachokueleza. Nashukuru kwa kujali mkuu
Ushapata patner ? Umefanyia research eneo la biashara? Unahitaj patner awe na kias gani
 
Kwanini usikope tu? Kutafuta partner msiofahamiana kiundani inachangamoto sana kibiashara....uaminifu, tofauti ya mitizamo, ufujaji....nakushauri uweke nguvu aidha uanze kidogo kidogo ukue au ukope kama unakopesheka....
 
Kwanini usikope tu? Kutafuta partner msiofahamiana kiundani inachangamoto sana kibiashara....uaminifu, tofauti ya mitizamo, ufujaji....nakushauri uweke nguvu aidha uanze kidogo kidogo ukue au ukope kama unakopesheka....
Kwanini usikope tu? Kutafuta partner msiofahamiana kiundani inachangamoto sana kibiashara....uaminifu, tofauti ya mitizamo, ufujaji....nakushauri uweke nguvu aidha uanze kidogo kidogo ukue au ukope kama unakopesheka....
Asante kwa ushauri mkuu, ubarikiwe
 
Mchanganuo wa hiyo biashara uko vipi?

Unahitaji patner awe na mtaji kiasi gani ?

Mgawanyo wa kazi katika huo mgahawa ukoje?
 
Parti
Mchanganuo wa hiyo biashara uko vipi?

Unahitaji patner awe na mtaji kiasi gani ?

Mgawanyo wa kazi katika huo mgahawa ukoje?
Kuhusu Hili mkuu ni kuwa ushirika wetu ndio utachanganua na kwa pamoja to move forward.mtaji ni chochote atachohisi kitaweza kuwezesha biashara kuanza na kuendelea katika mlengo chanya
 
Back
Top Bottom