Kwa msamaria mwema yeyote{wakiume} aliyeko mabibo hostels atakaeguswa na tangazo langu,bac naomba anipe huo msaada na mungu atamzidishia ktk maisha yake.asanteni
Kwa msamaria mwema yeyote{wakiume} aliyeko mabibo hostels atakaeguswa na tangazo langu,bac naomba anipe huo msaada na mungu atamzidishia ktk maisha yake.asanteni
Ni ujinga tu, haiingii akilini kuweka tangazo hili humu JF. Kwa nini usiombe PR akuwekee kwenye mbao za matangazo pale UDSM? Kwa nini usisambaze matangazo hapo Mabibo?
mkuuuu kuna nyumba ipo msewe inapangiswa ni karibu na chuo maji umeme vyote vipo ni dakika 10 mpaka chuo njia unatokea kwa mamalishe pale fpa kodi ni buku 50 kwa mwezi
Kwa msamaria mwema yeyote{wakiume} aliyeko mabibo hostels atakaeguswa na tangazo langu,bac naomba anipe huo msaada na mungu atamzidishia ktk maisha yake.asanteni
Maelezo yako kama ya Mulugo, hayajitoshelezi! Kubebwa ki vipi? Mgongoni, kupewa sehemu ya malazi, kubebwa ki masomo, wewe ni mlemavu na kwa nini awe mwanaume wewe ni jinsia gani? Funguka zaidi ili usomeke.
aiseeeee babaangu 2meshafahamu unasoma udsm umeshindwa nini kubandika tangazo pale yombo 1 2 3 4 5 au pale au pale cafteria na pale kariakoo hall 2 na 5 kama ujapata nenda kabandike kwa mkandala utawala
Kwa msamaria mwema yeyote{wakiume} aliyeko mabibo hostels atakaeguswa na tangazo langu,bac naomba anipe huo msaada na mungu atamzidishia ktk maisha yake.asanteni
Kwa msamaria mwema yeyote{wakiume} aliyeko mabibo hostels atakaeguswa na tangazo langu,bac naomba anipe huo msaada na mungu atamzidishia ktk maisha yake.asanteni