Wilaya ya kinondoni
Ok asante bt si mpaka jumatatu mkuu
Vipi wakati unapata Utamu uliwashirikisha ustawi wa jamii mkuu?Habari wana jamii forum, nimepatwa na tatizo la kifamilia na ni urgent naitaji ushauri, mwenye kujua mawasiliano au mtu yeyote wa ustawi wa jamii naomba unipm tafadhali
Duhh !!!! Mkuu maisha yametawaliwa na ajali nyingi. Sana ".... yatupasa tujitahidi kujifunza kutowahukumu kutokanw na mitihani inayo wafika .. kwa sababu hatujui sababu haswaa iliyo wapelekea wao kufikia hatua hiyo ni ipi !..Vipi wakati unapata Utamu uliwashirikisha ustawi wa jamii mkuu?
CC Zero IQ