Natafuta msaada ustawi wa jamii

Natafuta msaada ustawi wa jamii

Cataliyya

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2015
Posts
781
Reaction score
378
Habari wana jamii forum, nimepatwa na tatizo la kifamilia na ni urgent naitaji ushauri, mwenye kujua mawasiliano au mtu yeyote wa ustawi wa jamii naomba unipm tafadhali
 
Habari wana jamii forum, nimepatwa na tatizo la kifamilia na ni urgent naitaji ushauri, mwenye kujua mawasiliano au mtu yeyote wa ustawi wa jamii naomba unipm tafadhali
Vipi wakati unapata Utamu uliwashirikisha ustawi wa jamii mkuu?

CC Zero IQ
 
Vipi wakati unapata Utamu uliwashirikisha ustawi wa jamii mkuu?

CC Zero IQ
Duhh !!!! Mkuu maisha yametawaliwa na ajali nyingi. Sana ".... yatupasa tujitahidi kujifunza kutowahukumu kutokanw na mitihani inayo wafika .. kwa sababu hatujui sababu haswaa iliyo wapelekea wao kufikia hatua hiyo ni ipi !..

Ustawi wa jamii ni taasisi ambayo ipo kwaajili ya kutatua changamoto zinazo wazunguka watu .. waliamua kufanya hivyo baada ya kugundua kwamba maisha ya mahusiano yana changamoto kubwa sana ...changamoto ambazo laiti kama hazito tafutiwa ufumbuzi zinaweza kugharimu uhai wa mtu/watu ... au kupelekea taifa kuwa na watu waliokosa haki zao za msingi katika maisha yao .. taifa pia linaweza kupata watu waliofikwa na kichaa baada ya kuandamwa na msongo mkubwa wa mawazo " yaliyo sababishwa na hitilafu ya mahusiano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom