Natafuta mpenzi

Natafuta mpenzi

Joined
Sep 16, 2010
Posts
14
Reaction score
0
Mimi ni mwanaume. Naishi Dodoma. Natafuta mpenzi wa kuliwazana. Umri kuanzia miaka 20 na kuendelea. Sitanii, kwa hiyo na yeye asitanie. Atakayekuwa tayari ani-PM.

Ahsante
 
dah! dom upande gani kaka? vipi watoto wa cbe huwawezi?
 
Kumbe kuliwaza na kuachana au sijaelewa vizuri hebu ngoja nichukue miwani kwanza ha ha ha ha. Wewe kwanza umri wako hujatuambia
 
Mimi ni mwanaume. Naishi Dodoma. Natafuta mpenzi wa kuliwazana. Umri kuanzia miaka 20 na kuendelea. Sitanii, kwa hiyo na yeye asitanie. Atakayekuwa tayari ani-PM.

Ahsante

Dah kwani unashindwa kuongea nao huko Dom?

Mbona mitoto ya Kirangi ipo shazi sana huko!
 
Kuliwazwa kwa wewe kutoa Tigo? Kama uko tayari kutoa tigo, basi kuna jamaa yangu yuko Dom hapo anaweza sana huo uzandik. Nikupe namba yake
 
Specification please, wewe mwenyewe una ram na gb ngapi? Processor yako ni duo au?
Pia kama ni window 7 au xp sp2,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom