Bibah mohd
Member
- Sep 11, 2018
- 60
- 66
Nn tena jamanJmni
Nn tena jamanJmni
Picha yannPicha tafadhali
Vp wewe tayari?All de best dear
HmnaNn tena jaman
Ndiyo mm tayariVp wewe tayari?
Hongera sana. Naiombea ndoa yako itenganishwe na kifo tu.Ndiyo mm tayari
YakwakoPicha yann
Aku mie bado cjaolewa asije malaika wa ndoa akanipita akidhani kua nmeshapata mume kumbe nilidanganyaHongera sana. Naiombea ndoa yako itenganishwe na kifo tu.
Njoo pm nikutumieYakwako
title kiswahili yaliyomo English ndo nn sasa??
vipi ndg,umetoka kapa kama mimi? Mi nimeelewa kichwa cha habari tu huku kwingine sijui ni kiluga gani ila nahisi ni kimasai hikiSijiuzi na siko kwa biasharasiku hizi bila ya picha hupati mtu...au ukimpata kama hauvutii biashara inaishia hapo
Kwahiyo Mungu huwaleta chumbani?Mchumba au Mme au Mke hawa watu huwa hawatafutwi Hapa MUNGU huusika sio nguvu zako ,Bidhaa ndo hutafutwa sana sana ukitafuta utapata sio Mwenzo wako ni hayo mkuu