genious wa kijiji
Senior Member
- May 1, 2014
- 173
- 250
Wakuu nawasalimu,
Mimi ni mwanaume ambaye nimekata tamaa. Maisha ya kuwa single yamenichosha na kila nikitafuta mpenzi hakai sana bali ananiacha na kwenda zako. Nipo vizuri kustahili kupata mpenzi mzuri lakini sina bahati ktk hilo.
Kwa mantiki hiyo natafuta mpenzi nami nijisikie mwanaume kati ya wanaume . siangalii sura, tabia , elimu, shepu, chura, au pesa. As long as ni mwanamke wa 18-22yrs na awe msingida.
Aliye tayari ani pm tuyajenge.
Mimi ni mwanaume ambaye nimekata tamaa. Maisha ya kuwa single yamenichosha na kila nikitafuta mpenzi hakai sana bali ananiacha na kwenda zako. Nipo vizuri kustahili kupata mpenzi mzuri lakini sina bahati ktk hilo.
Kwa mantiki hiyo natafuta mpenzi nami nijisikie mwanaume kati ya wanaume . siangalii sura, tabia , elimu, shepu, chura, au pesa. As long as ni mwanamke wa 18-22yrs na awe msingida.
Aliye tayari ani pm tuyajenge.