Natafuta mpenzi

Hi wapendwa,

Natafuta mwanaume mwenye sifa zifuatazo; Awe muislam, umri miaka 23-35, awe anafanya kazi na mwenye mapenzi ya kweli na si kudanganyana.

Mwenye sifa hizo anifollow pm
Habari Issabela mm n kijana wa kiislamu na nliwahi kuleta tangazo hapa kutafta bint wa kiislamu lakin sikufanikiwa kwa kuwa waliokuja PM walikua tayari na watoto. Kama huna mtoto tuwasiliane tunaweza kuelewana na kufikia lengo
 
hahahah....
 
Hi wapendwa,

Natafuta mwanaume mwenye sifa zifuatazo; Awe muislam, umri miaka 23-35, awe anafanya kazi na mwenye mapenzi ya kweli na si kudanganyana.

Mwenye sifa hizo anifollow pm
Nakuja pm
 
Kwa wanaume watu kama hawa si wakuingia kichwakichwa mana mrejesho utakaoleta hapa utakuwa wa majonzi
 
Hi wapendwa,

Natafuta mwanaume mwenye sifa zifuatazo; Awe muislam, umri miaka 23-35, awe anafanya kazi na mwenye mapenzi ya kweli na si kudanganyana.

Mwenye sifa hizo anifollow pm
Njoo pm pls.vigezo vimetimia.
 
Hi wapendwa,

Natafuta mwanaume mwenye sifa zifuatazo; Awe muislam, umri miaka 23-35, awe anafanya kazi na mwenye mapenzi ya kweli na si kudanganyana.

Mwenye sifa hizo anifollow pm
weka picha tukutathmini
 
weka sifa zako maana nina uhakika 98% hyo picha sio yako. na useme mwanzo ulikuwa unatumia ID ipi. tusijetongoza mara mbili mbili demu mmoja.
 
Kama unatangaza biashara mwisho ungeweka namba ya simu husione aibu
 
Nipo siriaz mimi,nimechoka upweke issabella
 
kwa hii operesheni ya kamanda Sirro haya tuyategemee sana humu...hiyo ni mikakati mipya ya kuendelea kuwepo...haahaaa natania tu...kila la heri
 
Sikiliza niseme kitu kimoja wapendw kam n wanaume wapo kila siku n natongozwa lakn always sio wakwli n hawn mapenzi y kweli, sasa nachotak kusem n hivi mtu ananenipend mm naomb afate vigezo nilivyotaja hapo juu saw wendw, really am serious
ukikosa njoo kwangu nakusubiri nipo tanga nauza samaki soko la ngamiani
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…