Habari wana MMU, mimi ni kijana mwenye miaka 32, bado natafuta maisha; nimeajiriwa na kampuni binafsi baada ya kuhitimu masomo yangu ya juu nchini China. Natafuta mpenzi mwenye miaka kati ya 20-32, awe tayari kupima ukimwi.
mpenzi wa jinsi gani maana kuna waliberali humo! vijana wa kizazi hiki hamtabiriki nyieHabari wana MMU, mimi ni kijana mwenye miaka 32, bado natafuta maisha; nimeajiriwa na kampuni binafsi baada ya kuhitimu masomo yangu ya juu nchini China. Natafuta mpenzi mwenye miaka kati ya 20-32, awe tayari kupima ukimwi.
huyo jamaa kanywa viroba vile vya kienyeji ndy kaja humu jfUnajua kusoma au mwezi umeandama? nenda jukwaa la mapenzi na mahusano.
Habari wana MMU, mimi ni kijana mwenye miaka 32, bado natafuta maisha; nimeajiriwa na kampuni binafsi baada ya kuhitimu masomo yangu ya juu nchini China. Natafuta mpenzi mwenye miaka kati ya 20-32, awe tayari kupima ukimwi.
Natafuta mpenzi mwenye miaka kati ya 20-32, awe tayari kupima ukimwi.
hatariiiiiii.,....,...kwel kna wa2 wa ajab
AWE NA JINSIA GANI?
Mpenzi wa kike? Au Mlibelali?
Fafanua ueleweke.
Dunia isha chafuka hii asee