Natafuta mpenzi wa kike awe mwalim au nesi

Natafuta mpenzi wa kike awe mwalim au nesi

KIFALU

Member
Joined
Mar 13, 2014
Posts
99
Reaction score
15
Kwa yeyote ambae yuko serious plz call me 0759403221,tutaonana na kuongea tukipendana poa tukishindana its ok kwani mapenzi ni makubaliano.
 
kwa nini unataka walimu au manesi? kwani mke mwema lazima awe mwalimu au nesi tu?...."mke mwenye busara mtu hupewa na Bwana"
 
Awe NEC ya ccm au ya cdm? Au unamaanisha awe ameajiriwa na tume ya taifa ya uchaguzi?
 
Fursa hizo zinapita kando sijui kwanini nilikuwa mwanajeshi aaargh.
 
Mama yangu mkubwa ni mwl.ana miaka 47,ngoja nikuunganishe nae,maana inaonekana umri kwako so inshu ili mradi awe mwl./nesi!
 
Kwa yeyote ambae yuko serious plz call me 0759403221,tutaonana na kuongea tukipendana poa tukishindana its ok kwani mapenzi ni makubaliano.

Hapo nakupa like kiongozi, sio siri manesi na walimu huwa ni waukweli sana. Hawana makuu hawa, na hata kwenye matunzo ya familia huwa wana mchango mzuri sana hawa.
 
Back
Top Bottom