JONATHAN KAMWAVAH'S
Senior Member
- Oct 9, 2012
- 184
- 24
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26,kabila Mnyamwezi,Elimu ya chuo(sayansi ya siasa) ni mfanya biashara mdogo na mmiliki wa Youth Network Development Investment iliyopo Mkuranga mkoa wa Pwani,ni mrefu kiasi,si mweusi wala mweupe sana,ni mcheshi,mwongeaji mzuri tu!na ukitaka kunitazama vizuri ingia facebook cheki Jonathan kamwavahs unisoma.
Natafuta mwanamke mwenye kujiamini,mkweli,mwenye kunithamini,na awehuru na muwazi kwangu.
Muonekano na sifa muhimu.
Awe na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea.
Asiwe mweusi sana na akiwa mweupe inapendeza zaidi.
Asiwe mfupi sana.
Awe na shepu ya kuvutia,sura nzuri,asiwe mnene sana wala mwembamba sana.
mwenye maziwa mazuri yaliyo simama yawe makubwa au madogo.
mwenye uwezo wa kuishi na watoto wangu wawili,wakiume mmoja na wakike mmoja nilio wazaa kwa mwanamke mmoja.
Asiwe na mtoto hata mmoja.
mwenye uwezo wa kupenda ndugu zangu haswa mama yangu mzazi.
Kwa mwanamke muhitaji na makini mwenye sifa karibu,namba zangu za simu ni 0719 450426.
Natafuta mwanamke mwenye kujiamini,mkweli,mwenye kunithamini,na awehuru na muwazi kwangu.
Muonekano na sifa muhimu.
Awe na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea.
Asiwe mweusi sana na akiwa mweupe inapendeza zaidi.
Asiwe mfupi sana.
Awe na shepu ya kuvutia,sura nzuri,asiwe mnene sana wala mwembamba sana.
mwenye maziwa mazuri yaliyo simama yawe makubwa au madogo.
mwenye uwezo wa kuishi na watoto wangu wawili,wakiume mmoja na wakike mmoja nilio wazaa kwa mwanamke mmoja.
Asiwe na mtoto hata mmoja.
mwenye uwezo wa kupenda ndugu zangu haswa mama yangu mzazi.
Kwa mwanamke muhitaji na makini mwenye sifa karibu,namba zangu za simu ni 0719 450426.