kkkt
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 364
- 115
We hujui sheria za huku;ebu nenda inbox bwasheeMbona picha yako hujaweka achaa hizo
Sifa zote ninazo ila kweny ajira nadhan nitakukosa maana magu asomek mpaka sasaHabarani wadau....
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu natafuta mpenzi ambae baadae atakua mume wa maisha yangu.
Mimi ni binti wa miaka 27 ni mkristo elimu degree na nmeajiriwa.
Natafuta mwanaume mkristo na mwenye hofu ya Mungu, awe na a source of income, apende familia, preferably miaka 30 na kuendelea.
Kama nimewakwaza samahanini na karibuni.