Asante kwa hiliMkuu, sasa wewe unaweka sharti la a source of income kwenye uchumba, nilithani watu wakishaanza uchumba ndo waanza kuweka mikakati ya aina ya maisha watakayoishi pamoja, maana mwingine ukimkuta na mali anaweza kuamua kuwaachia wazazi wake na kuanza upya maisha. Halafu wewe kama Mkristu, unatakiwa pia kuweka sharti ya source of income halali, vinginevyo utapata ambaye ni fisadi/mwizi/jambazi halafu atafungwa na kukuacha peke yako.
Mungu akutimizie hitaji lakoHabarani wadau....
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu natafuta mpenzi ambae baadae atakua mume wa maisha yangu.
Mimi ni binti wa miaka 27 ni mkristo elimu degree na nmeajiriwa.
Natafuta mwanaume mkristo na mwenye hofu ya Mungu, awe na a source of income, apende familia, preferably miaka 30 na kuendelea.
Kama nimewakwaza samahanini na karibuni.
Mkuu Kasema hatutaki wachagaNjoo inbox
Jina: Valentina
Umri: 79
Jinsia: KE
Wasifu wangu....
1. Umbo kabati
2. Mweusi
3. Mchoyo sana
4. Nina gubu
Natafuta mume mwenye sifa zifuatazo
1. Hand same
2. Mkarimu
3. Mwenye mali nyingi
4. Asiwe bahili
Umri 25_35
He hee umeniita kimasai kabisaView attachment 354999
Falentina kyamani nipo kwa ajili yako tu
Maasai kabisa, nachukua wowe jumla. Chieeeh!He hee umeniita kimasai kabisa
Nyie masai hapana banaMaasai kabisa, nachukua wowe jumla. Chieeeh!
Naogopa nini sasa, maasai ina ng'ombe nyingi kabisa, na utakaa boma yako munyeweNyie masai hapana bana
Bora niende kwa wasukuma/wachagaNaogopa nini sasa, maasai ina ng'ombe nyingi kabisa, na utakaa boma yako munyewe
Mvumilie huo ni utoto tu akikua ataacha.Hata Mimi Natafuta Mke... Mwarabu wangu ana mapenzi yaliyopitiliza hadi kero hapendi nifanye kazi, bora nikuchukue wewe...