Mi ni mwanaume miaka 34, mweusi, urefu 5.6ft,umbo si mnene wala mwembamba(wastani), Elimu chuo kikuu, mkristo(Lutheran), naishi Dar, natafuta mtu ambaye atakua mpenzi, mchumba mpaka mke kama tutaridhiana na kukubaliana. Awe na miaka kati ya 24 na 28,mweupe, kifua kidogo(Maziwa), awe na mguu pamoja na hips, asiwe mnene, elinu kuanzia form 6 na kuendele, awe anajitambua yeye ni nani na anataka nini. Aliye tayari twasiliane kupitia email iringambeya@yahoo.com.