NATAFUTA MOTHERBOARD YA LAPTOP HP dv 9000

NATAFUTA MOTHERBOARD YA LAPTOP HP dv 9000

jinalako

Member
Joined
Apr 8, 2011
Posts
56
Reaction score
2
Laptop yangu (HP pavillion dv 9000) ina matatizo ya kuwaka. Fundi ameicheki akanishauri kuwa suluisho ni kubadilisha motherboard. Naombeni msada wenu wakuu.
 
Fundi akikuambia motherboard imekufa kuwa na wasi wasi na utaalam wake. Ni kazi sana ubao mama kufa. Wakati fundi anakaumbia MOBO imekufa tatizo halisi mara nyingi linaweza uwa Kuna power ic au baadhi ya IC ndani ya MOBO ndio zinaweza kufa au kuna vitu vinakorofisha. mfano power suppply inayosambaza moto kwenye MOBO au device kama VGA card tatizo amabalo ni sugu kwenye hizo dv 9000

So kabla ya kutafuta MOBO mpya

  • muulize fundi wako amejuaje au ni sababu gani zinamfanya seme mobo ndio imekufa na sio power supply ai ic....?
  • tafuta fundi mzuri mwenye vifaa na vipimo sahihi. afungue na kupima njia za hiyo mobo.....
 
Fundi akikuambia motherboard imekufa kuwa na wasi wasi na utaalam wake. Ni kazi sana ubao mama kufa. Wakati fundi anakaumbia MOBO imekufa tatizo halisi mara nyingi linaweza uwa Kuna power ic au baadhi ya IC ndani ya MOBO ndio zinaweza kufa au kuna vitu vinakorofisha. mfano power suppply inayosambaza moto kwenye MOBO au device kama VGA card tatizo amabalo ni sugu kwenye hizo dv 9000

So kabla ya kutafuta MOBO mpya

  • muulize fundi wako amejuaje au ni sababu gani zinamfanya seme mobo ndio imekufa na sio power supply ai ic....?
  • tafuta fundi mzuri mwenye vifaa na vipimo sahihi. afungue na kupima njia za hiyo mobo.....
THANKS
Alianza kucheki processor kwanza, akagundua kuwa haina tatizo ndio aka conclude kuwa MOBO ibadilishwe.Tatizo lake ni kuwa inakuwa kama inawaka lakini inashindwa na kuanza tena upya, na inarudia rudia hiyo process. mwanzoni ilikuwa ikirudia rudi baada ya muda inawaka lakini kwa sasa imegoma kabisa.
 
THANKS
Alianza kucheki processor kwanza, akagundua kuwa haina tatizo ndio aka conclude kuwa MOBO ibadilishwe.Tatizo lake ni kuwa inakuwa kama inawaka lakini inashindwa na kuanza tena upya, na inarudia rudia hiyo process. mwanzoni ilikuwa ikirudia rudi baada ya muda inawaka lakini kwa sasa imegoma kabisa.

vipi kuhusu power supply na power IC alizicheki na kupima .uhaikisha mto uoinga na kusambazwa kwenye MOBO ni sahihi.

Anyway short cut agiza MOBO ebay
HP DV9000 Motherboard (444002-001) Working Great. USA | eBay
HP DV9000 AMD MOTHERBOARD 444002-001 WORKING GREAT USA | eBay

NB
Inawezekena motherboard yako ina tatizo kama zilizokuwa nazo hizo utakazonunua . Tofauti ni kuwa wao wameweza kuerekebsiah tatizo na kureplace defective part kwenye motherboard
.


Kuna MOBO za AMD na intel so wakati wa kununua pay attention to technical details and specs


Good luck
 
Naona sasa hivi inawaka vizuri. Baada ya kubadilisha processor haikuwaka lakini toka jana niliiwasha baada ya kama dk 10 ikawaka. Sasa hivi inafanya kazi kama kawaida na haichelewi kuwaka. Pengine tatizo lilikuwa ni processor, may be ilihitaji muda kidogo kuwaka kwa vile processor ilikuwa ni geni. Processor ni AMD Turion 64x2. Nitaisikilizia nione itakuwaje.
 
Back
Top Bottom