Natafuta Model wa kiume

Natafuta Model wa kiume

Hahaha duh kazi ya kuuza sura kwenye tangazo kwa Tsh 180000 yataka moyo aise bora mngefanya hata 1.5 million yaani 500000 per day
 
Hahaha duh kazi ya kuuza sura kwenye tangazo kwa Tsh 180000 yataka moyo aise bora mngefanya hata 1.5 million yaani 500000 per day
Biashar ainapo kua change pia tunatafuta watangazaji walio wa change , hatujafikia level ya billioboards bado ndio tunaanza , kama mtu unapiga picha uko naboxer na kuweka FB , kwanini usipige picha hizo hizo na ukaingi akipoato kidogo na pia ukajitagaza Zaidi toka kwenye kampuni change aka brand change?
 
Ukifikia kutafuta ma model wa kupiga kazi chumbani nishtue nikaoshe rungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom