Nchiyanguu
JF-Expert Member
- Sep 3, 2021
- 319
- 623
Habari za weekend wana Jukwaa,
Nimelima mahindi mkoa wa Pwani Wilaya ya Chalinze, natarajia kuvuna mwezi huu wa 7. Nitapata zaidi ya magunia 30.
Hivyo nipo hapa kama naweza pata mnunuzi.
Nimelima mahindi mkoa wa Pwani Wilaya ya Chalinze, natarajia kuvuna mwezi huu wa 7. Nitapata zaidi ya magunia 30.
Hivyo nipo hapa kama naweza pata mnunuzi.