anny gervas
Member
- May 14, 2013
- 23
- 19
Samahani wadau,nina shida ya mkopo kwa dhamana ya nyumba haijaisha yote lakini na pia nina sales agreement tu ya kiwanja maana hati miliki bado ipo kwenye mchakato..msaada
Nenda bank mkuu, uta sikilizwa
Waambie matajiri wa JF unahitaji kiasi gani? Nyumba ipo wap?(kata na mkoa mfano)..Samahani wadau,nina shida ya mkopo kwa dhamana ya nyumba haijaisha yote lakini na pia nina sales agreement tu ya kiwanja maana hati miliki bado ipo kwenye mchakato..msaada