emmanuel1976
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 301
- 79
Kama mjuavyo system ya mabenki yenu juu ya ukopaji ni ngumu sana, hadi uwe na hati ya nyumba au shamba nk. Bahati mbaya mie sina vitu hivi, ninayo mashamba ambayo hayana hati bado, ninao hata mradi wa shule ndogo na nimejenga madarasa kadhaa ila sijapata hati bado na niko hatua karibu na mwisho na kwa hali ya tz huwenda ikachukua mwaka mzima hati kutoka. Nimejaribu kukopa pesa ili niendeshe mradi wangu huu na miradi mingine imeshindikana katika benki zetu za kitanzania. Jamani naomba ushauri wenu, nifanyeje kwani nahitaji kati ya milioni 100-200