mhasibumkuu
Member
- Sep 6, 2014
- 43
- 6
- Thread starter
- #21
Wako wap au waambie watoe namba zao za m-pesa na tigo pesa watajileta kwel.
Not looking for a woman after money but a woman after a man for a better family
Wako wap au waambie watoe namba zao za m-pesa na tigo pesa watajileta kwel.
Not looking for a woman after money but a woman after a man for a better family
Nadhani hapa unatania. Hizi issue sio kabisa. Utakuja kutana na mwanamke waajabu wewe, utakoma. Mbona wanawake wapo wengi tu mitaani?
It's either a plan A or a plan B, I am here looking for a darly
Nia ninayo mengine namwachia mungu
Aise ndugu tafuta pesa kwanza hawa wadudu wanakuja wenyewe tu. Hutakuwa na upweke ukiwa na mkwanja. Ndio fomula bro.
Ungejitambua wala usingeleta tangazo humu,hiv unafikiri kupata mke ni kazi rahisi?labda tafuta dem na si mke.
mhasibumkuu bado hata dalili hakuna????
lugha yako mkuu, utafikiri ulimuweka humu sa umekuja kumuijia!!! hawa watoto inahitaji kuwabembeleza, la sivyo wote utawaita shemeji
huyu atakuwa mtu wa musoma
huyu atakuwa mtu wa musoma
Bila shaka... na hapo kuchezea vbao si kitu cha kuuliza
Mkuu ID yako ya zamani ni ipi?
mhasibumkuu
Sina ID nyingne kaka
Kwa nini cntapata?Basi hutapata
Kwa nini cntapata?