Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
Mbona unanicheka sasa? basi nimekiondoa kipengele no-1. hapo vipi?
Ha ha ha sasa ndo umenifurahisha zaidi nimecheka kwa nguvuu… na umri pia haumati tena ama?
Mbona unanicheka sasa? basi nimekiondoa kipengele no-1. hapo vipi?
Ha ha ha sasa ndo umenifurahisha zaidi nimecheka kwa nguvuu na umri pia haumati tena ama?
hapa umefika nshomile na engineer wetu..
utampata tu!
ha ha!! haya bana we cheka. una umri gani???
Ninatafuta mke sifa ninazotaka,
i) Awe ni doctor au ni mwanafunzi wa MD
umri 23-28
ii) Rangi haijalishi ila itakuwa vizuri akiwa maji ya kunde
iii) Umbo saizi ya kati( yani asiwe mnene wala mwembamba sana)
iv) Sichagui kabila ( ila itakuwa vizuri akiwa ni mtu wa tanga)
Sifa zangu:
-Muajiriwa serikalini( engineer)
-Mrefu mweusi
-Mwembamba
- Muhaya
- Muislamu
KAMA UKO NA SIFA ZA HAPO JUU PM. NAOMBA NIELEWEKE NATAFUTA MKE NA SIO GIRLFRIEND.
Asanteni
nipe moyo ila bado sijapata ina maana humu JF hawapo????